Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Picha: Magereza na Mambosasa waanza kuumbuka

Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
Kwani walienda magereza bila sababu maalum?! Kwa akili yako unaamini Mdee na wenzake walivamia magereza na hawakuishia hapo wakampiga na kunchania askari sare yake?! Wakati mwingine muwe mnajaribu kutumia akili zenu za kawaida basi!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipende kuwa unaangalia shilingi upande mmoja. Je kama akina pole pole waliomba ruhusu na kufuata taratibu. Na unjua kama walingia na magari hadi sehemu sisizoruhusiwa?
Jambo la msingi ni kufuata utaratibu.
Inaelekea ccm peke yao ndio wanajua utaratibu hadi wakuteka na kupoteza watu kupiga risasi watu mchana bila kushtakiwa. Hovyo kabisa
 
Hao akina mama walitumiwa kama chambo tu.Wanaokuja kuvamia wapo nyuma.Sasa haiwezekani jeshi la magereza wasubiri mpaka waje hao wavamizi wavunje gereza waondoke na wafungwa . lazima kwanza kuwasambaratisha waliotumwa.
 
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell
View attachment 1394498
View attachment 1394521
View attachment 1394222
Kwani waliwafuata ofcn kwao ufipa ama walienda eneo la Magereza?
Kubarini tu hii kiki imedoda
 
Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!

Time will tell
View attachment 1394498
View attachment 1394521
View attachment 1394222
Ukimuangalia mabegani utaona aliyemshika bulaya mkono wa kulia alivyo na cheo cha juu, lakini inaonekana kwamba nayeye alishiriki uhuni huu kikamilifu sana. Ninacho jiuliza mimi hasa ni hatua gani zinachukuliwa na bunge kunapotokea uhuni kama huu kwa mbunge yeyote wa bunge la jamuhuri ya muungano wa tanzania? Hivi hakuna utaratibu wa bunge kuunda tume ama spika kuteua watu wakuchunguza kadhia yoyote kwa mbunge wake ili kujiridhisha na tukio husika kama mbunge alikuwa na kosa ama la? Na kama alikuwa na kosa pia kujiridhisha kwamba ni kosa gani lililo pelekea avunjwe mkono ama atenguliwe mgongo? Ama ndio tubaki kuamini aliyoyasema CAG (mstaafishwa).
 
Kwa muonekanano hii picha imechukuliwa ktk video. Iachie video yenyewe ili tujionee kilichotokea, sio kutupa kile unachotaka wewe tukione.
Na wewe unaishi ndani ya mabanda ya kuku kama askari wa magereza???

Kwanini akili zako zinafanana na za hao askari???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi
Si kosa lako, ni kosa la hiyo aliyekuweka kwenye banda la kuku, mwishowe akili zako zinafanana na za kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimuangalia mabegani utaona aliyemshika bulaya mkono wa kulia alivyo na cheo cha juu, lakini inaonekana kwamba nayeye alishiriki uhuni huu kikamilifu sana. Ninacho jiuliza mimi hasa ni hatua gani zinachukuliwa na bunge kunapotokea uhuni kama huu kwa mbunge yeyote wa bunge la jamuhuri ya muungano wa tanzania? Hivi hakuna utaratibu wa bunge kuunda tume ama spika kuteua watu wakuchunguza kadhia yoyote kwa mbunge wake ili kujiridhisha na tukio husika kama mbunge alikuwa na kosa ama la? Na kama alikuwa na kosa pia kujiridhisha kwamba ni kosa gani lililo pelekea avunjwe mkono ama atenguliwe mgongo? Ama ndio tubaki kuamini aliyoyasema CAG (mstaafishwa).
Spika mwenyewe akili zake ni za kishikiwa na Jiwe.

Hana akili zake huyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa Mambosasa kakosea wapi!
  1. Walivamia gereza, wakadhibitiwa na kichapo juu!
  2. Sometimes tuwe na uelewa, kuvamia maana yake nini!
  3. Hayo mambo yenu ya people's power hayawezi Ku practice kwenye majeshi

Mbona hutuambii?

Tuambie, kuvamia maana yake nini?

Hawa wanawake wanaopigwa kosa lao nini?

SWALI LA ZIADA:

Let's assume, Halima Mdee, Jeska Kishoa na Esta Amosi Bulaya "walivamia" gereza la Segerea kweli kweli kwa lengo tusilolijua....

Kama ndivyo hivyo, kulikuwa na sababu gani askari magereza kuwapiga hawa wanawake huku wakiwa tayari wamewatia mikononi mwao??

Hivi ndivyo taratibu na sheria za Tanzania zinavyoelekeza kumfanyia mtuhumiwa??

Mimi nadhani, tukubaliane tu kuwa, hili halikubaliki kwa vipimo vyote....!!!
 
Back
Top Bottom