Ona hii corona ya kijani, pumbavu kabisa
Hapa mbona Kama wanamsaidia kutembea? Huyo afisa wa magereza anasaidia kumnyanyua, acheni upotoshaji,Eti hawa akina Mama walitaka kuvunja gereza! Eti Bulaya na Halima hapo ndio wammevamia Magereza! Acha Ulimwengu uone uhuni wa hawa watu! Ukiangalia kwa umakini unaona kuwa Askari wanawavutia kwenye geti, chini kule kuna gari inapita meaning walikua mbali kabisa na lango la gereza!!
Time will tell
View attachment 1394498
View attachment 1394521
View attachment 1394222
Naomba nisikutusiHapa mbona Kama wanamsaidia kutembea? Huyo afisa wa magereza anasaidia kumnyanyua, acheni upotoshaji,
Tatizo mdomo ndio uliponza kichwaKwani hawa akina Bulaya walikwenda segerea kutafuta nini?
Na hivi ni kosa kisheria kwenda kumlaki mfungwa/mahabusu aliyepewa ruhusa kwa shangwe?
Waliowapiga akina Bulaya walikuwa wanzuwia nini, kisitendeke pale segerea ambacho walihofia kutokea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nijibu tu usinitusiNaomba nisikutusi
Alikuja kubadilika kama jiwe anavyo badilika sasa pamoja na kuanza vizuri. Asipo angalia naye ataishia kutembezwa kwenye tololi huku masikio yamekatwa.Aliyewapiga risasi unajua kilichompata nayeye?
Na watu wa kawaida Kama wewe waliishia wapi? Endeleeni kusambaza CoronaAlikuja kubadilika kama jiwe anavyo badilika sasa pamoja na kuanza vizuri. Asipo angalia naye ataishia kutembezwa kwenye tololi huku masikio yamekatwa.
Yanayotokea kwa wengine hata wewe ukifanya usishangae yakikutokea.
Kawaida kama tulivyo. Kuhusu Corona sisambazi maana nashukuru Mungu sijapata maambukizo. Ila najua wewe wa matawi ya juu huwezi kusambaza maana maambukizo hayakuwezi!Na watu wa kawaida Kama wewe waliishia wapi? Endeleeni kusambaza Corona
Tena kipigo kilikuwa kidogo kwa hao wahuniUtadhani enzi za makuburu!!
Sitaki kubishana endelea tuNajua bado unaakili za kushikiwa bwana mdogo sasa kama ww una akili sana, ndugu yako akifanya uhalifu akapelekwa kituoni nenda kawafanyie vurugu uone bajeti ya virungu inavyofanya kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhuni ni wewe
Mpwa acha basi fitna ndugu! HahahahaKawaida kama tulivyo. Kuhusu Corona sisambazi maana nashukuru Mungu sijapata maambukizo. Ila najua wewe wa matawi ya juu huwezi kusambaza maana maambukizo hayakuwezi!