Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Picha ya kwanza huyo jamaa wa kushoto mwenye shati la kijani lililokolea kafanana sana Mwendazakeš
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii laana zikurudie wewe na magaidi wenzakoMulaaniwe.
Sio kwa matungulile, wala ndulele mekoni
Si kama kinjekitile, unga na maji ya mtoni
Ni kwa hilo jasho tele, Damu tabu za maskini
Nasema Mulaaniwe huu wimbo mpya mjini
Mkata mkato umemkata, kwenye simuni maskini
Wamdumishia ukata , yala! ni hospitalini
Haitoshi kutibika, akatutoka jamani
Nasema Mulaaniwe, mulaaniwe milele
Mtwana pamoja watwana , wakike tumwite nani
Kabisa tunalandana , jasho letu vietini
Bado twa beba mabwana, da! tupo utumwani
Mulaaniwe kwa jasho, mulaaniwe milele
Mapasipoti shidani, garama nao mlolongo
Fursa za ugaibuni, mnatufelisha wabongo
Tumewakosea nini, mwatupiga na magongo
Nasema mulaaniwe, na vizazi vyenu vyote
Hata nyuso za hao watu ni za kimasikini na ujinga,inaonekana wamelazimishUjinga na umasikini kwa wananch n mtaji mkubwa sana kwa C.C.M
Ulaaniwe ulaaniwe mnaowatoza maskini tozo mlaaniwe na njaa zinazotuuma mlaaniwe wajaa laana nyie na vifo vyote vya maskini kwa kukosa matibabu na njaa , mulaaniwe mileleHii laana zikurudie wewe na magaidi wenzako
Mlaanike na damu za maskini wanaokufa njaa na kukosa matibabu . Mulaanike na jasho letu mnalokula, mlaanike nyie na vizazi vyenu machozi yetu yawe juu ya nyuso zenu na vizazi vyenu daima, mulaaniwe nasema mlaaniwe na ardhi mnayokanyaga hewa mnayovuta mulaaniwe milele [emoji24][emoji24][emoji24]Tunakataa kulaaniwa laani ziwe zako
Usuwatukane wana Geita wakati wewe mwenyewe mburula tuUjinga na umasikini kwa wananch n mtaji mkubwa sana kwa C.C.M
MaCCM akili zao hazina akili.Hapa ndo naonaga wtz hatuna akilini.bango linamtaja samia.kwani samia yuko geita?makada sijui tukoje.kyaaaaašŖšŖšŖšŖ
Akili yako haina Akili, huwezi elewa baki Chawa tu.Ule ndio mwandiko wa Shaka kumbe duuuh,
CHADEMA mbona mnaweweseka?
Watu mna macho kweli. Yawezekana jua la Dar limemchubuašš„š¢hivi huo weupe wa Katibu Mwenezi vipiii, kuna usalama kweli hapo?!?!
Uchawa unalipa Sana.Wanaiga legacy ya mwendazake.
Wewe ni nini?Mmeambiwa mpunguze Uchawa.