PICHA: Mapokezi haya ya Viongozi wa CCM Taifa Mkoa wa Geita yana maana gani?

PICHA: Mapokezi haya ya Viongozi wa CCM Taifa Mkoa wa Geita yana maana gani?

Picha ya kwanza huyo jamaa wa kushoto mwenye shati la kijani lililokolea kafanana sana MwendazakešŸ˜€
 
Mulaaniwe.
Sio kwa matungulile, wala ndulele mekoni
Si kama kinjekitile, unga na maji ya mtoni
Ni kwa hilo jasho tele, Damu tabu za maskini
Nasema Mulaaniwe huu wimbo mpya mjini

Mkata mkato umemkata, kwenye simuni maskini
Wamdumishia ukata , yala! ni hospitalini
Haitoshi kutibika, akatutoka jamani
Nasema Mulaaniwe, mulaaniwe milele

Mtwana pamoja watwana , wakike tumwite nani
Kabisa tunalandana , jasho letu vietini
Bado twa beba mabwana, da! tupo utumwani
Mulaaniwe kwa jasho, mulaaniwe milele

Mapasipoti shidani, garama nao mlolongo
Fursa za ugaibuni, mnatufelisha wabongo
Tumewakosea nini, mwatupiga na magongo
Nasema mulaaniwe, na vizazi vyenu vyote
Hii laana zikurudie wewe na magaidi wenzako
 
Ujinga na umasikini kwa wananch n mtaji mkubwa sana kwa C.C.M
Hata nyuso za hao watu ni za kimasikini na ujinga,inaonekana wamelazimish

Hawana tofauti na huyu.

2772486_FB_IMG_1575390800494.jpg


2772492_FB_IMG_1575390792397.jpg
 
Hii laana zikurudie wewe na magaidi wenzako
Ulaaniwe ulaaniwe mnaowatoza maskini tozo mlaaniwe na njaa zinazotuuma mlaaniwe wajaa laana nyie na vifo vyote vya maskini kwa kukosa matibabu na njaa , mulaaniwe milele
 
Ulaaniwe ulaaniwe mnaowatoza maskini tozo mlaaniwe na njaa zinazotuuma mlaaniwe wajaa laana nyie na vifo vyote vya maskini kwa kukosa matibabu na njaa , mulaaniwe milele
Tunakataa kulaaniwa laani ziwe zako
 
Tunakataa kulaaniwa laani ziwe zako
Mlaanike na damu za maskini wanaokufa njaa na kukosa matibabu . Mulaanike na jasho letu mnalokula, mlaanike nyie na vizazi vyenu machozi yetu yawe juu ya nyuso zenu na vizazi vyenu daima, mulaaniwe nasema mlaaniwe na ardhi mnayokanyaga hewa mnayovuta mulaaniwe milele [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mabango yameandikwa na mtu moja hao wakapewa waonyeshe, viongozi wa CCM wanamuona Samia Kama zuzu flani hivi anaependa sifa. Hapo hamna hata moja aliyeandika hayo mabango.
 
MaCCM akili zao hazina akili.
Chama maiti,
Mabango yote yameandikwa na SHAKA .. Chawa anajitekenya na kucheka mwenyewe = UCHAWA
Ule ndio mwandiko wa Shaka kumbe duuuh,

CHADEMA mbona mnaweweseka?
 
Ule ndio mwandiko wa Shaka kumbe duuuh,

CHADEMA mbona mnaweweseka?
Akili yako haina Akili, huwezi elewa baki Chawa tu.
Ukitazama kwa mfano herufi ā€Tā€ inafanana kwenye mabango yote.
Ila ukijaza kamasi kichwani uwezi elewa kitu.
CCM ni Chama maiti
 
Akili yako haina Akili, huwezi elewa baki Chawa tu.
Ukitazama kwa mfano herufi ā€Tā€ inafanana kwenye mabango yote.
Ila ukijaza kamasi kichwani uwezi elewa kitu.
CCM ni Chama maiti
Hebu tuaminishe sasa aliyeandika ni Shaka
 
Mabango yameandikwa na mtu moja hao wakapewa waonyeshe, viongozi wa CCM wanamuona Samia Kama zuzu flani hivi anaependa sifa. Hapo hamna hata moja aliyeandika hayo mabango.
CHADEMA mnateseka sana endeleeni kuota ndoto
 
Siasa ni mikakati, siasa ni hesabu, siasa ni ulaghai...kuna kundi lipo kulaghaiwa hapo
 
Back
Top Bottom