Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.

Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.

Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.

 
Kunambi ni mtu makini sana ila kwa huu ukaguzi ni UTOPOLO amefanya.

Karne hii ya sayansi na technology unajenga daraja kwa miti? Wameshindwa kuweka column kila upande na beam? Daraja ambalo alizidi 15 meter unajenga kwa miti?
 
Najaribu kuwaza hapa nakosa cha kuandika, TARURA walishirikishwa? Tani ngapi zinapita hapo? Otherwise mwanzo mwema. Kubwa nijua Mhe Kunambi anakusanya sh ngapi hapo kwenye halmashauri yake? maana pale Dodoma he did amazing collection.
 
Kuna vitu havipaswi kuwekwa kwene public km hiki jaman. Mbunge unachoma mafuta kwa ukaguzi wa chelezo tena watu kudakwa na mamba. Bora kungekuwa na matumiz ya sayansi kwene ujenz wake, hivyo tuu ktk karne hii kweli jamani. Sasa km hii mambo ndy imeleta tozo bac nchi hii mzik ni mnene hauchezeki
 
Ujenzi wa Daraja la mto Mngeta umefanikiwa, ikiwa zimetumika Tsh. Milioni 31

Mbunge Mlimba mkoani Morogoro, Godwin Kunambi amesema atahakikisha hakuna mwananchi atakayeliwa na mamba katika mto huo

Mapema mwezi Julai, serikali ilianza kutoza kodi kwenye miamala kwa nia ya kuboresha miundombinu ya barabara nchini

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…