Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
It may take a day depends how heavy the rain would be.How durable will that bridge be?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It may take a day depends how heavy the rain would be.How durable will that bridge be?
Katiba mpya muhimu Sana huu ujinga kabisaPICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
View attachment 1872581
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Unafurahi au? hebu tuonyeshe tu makao makuu ya chadema tuone kama unastahiri kuitwa chama cha siasa au saccos ya mbowe aliye jela kwa ugaidi
ukiwa chadema na akili huwaga zinaoza kabisa aliyekuambia zimetumika hizo hela ni nani? je kama wananchi wamejitolea kutengeneza kivuko chao cha muda wakisubiri serikali yao sikivu ya mtukufu rais samia iwajengee la kudumu je? najuwa nyie hamuwezi yaani mnasubiri mpaka mkinya na kutawazwa mtawazwePICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
View attachment 1872581
[emoji16]Inawezekana ikafika gharama hiyo. Inategemea daraja lilipo, ufikaji wa materials, aina ya mbao zilizotumika.
Mlimba ni moja ya sehemu zenye barabara mbovu sana, kwa kuangalia tu hilo daraja, ni nadra sana magari kufika huko, hivyo hata upelekaji wa hizo mbao unaweza ukawa wa gharama kubwa sana