ila chadema chama chenye nia ya kwenda ikulu mnashindwa hata kuwa na ofisiaibu gani mnaonyeshakwa watu wenu? wanachi wenyewe hawawakubaliKweli hicho Chama ambacho kinatawala tokea Uhuru hakina lengo la kuleta Maendeleo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ila chadema chama chenye nia ya kwenda ikulu mnashindwa hata kuwa na ofisiaibu gani mnaonyeshakwa watu wenu? wanachi wenyewe hawawakubaliKweli hicho Chama ambacho kinatawala tokea Uhuru hakina lengo la kuleta Maendeleo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆
CCM sikivu itajenga,hiyo ilikuwa mbinu ya mwana CCM kuwaambia wananchi.Msigwa anaanzisha TV itakayokuwa inaonyesha hii miradi tataHahahaaaa....... Godwin Kunambi wa Chadema kawapiga hapo!
Hahahaaaa....... Godwin Kunambi wa Chadema kawapiga hapo!
Hizo Mbao si Zinaoza.Inawezekana ikafika gharama hiyo. Inategemea daraja lilipo, ufikaji wa materials, aina ya mbao zilizotumika.
Mlimba ni moja ya sehemu zenye barabara mbovu sana, kwa kuangalia tu hilo daraja, ni nadra sana magari kufika huko, hivyo hata upelekaji wa hizo mbao unaweza ukawa wa gharama kubwa sana
Mwafrika ni nyani aliyechangamka Behaviourist . Kule kwetu ni moja ya sehemu wakoloni waliishi na kujenga shule miaka ya 1890. Mpaka sasa kuna madaraja yanayoungsnisha vijiji yalijengwa zaidi ya miaka 100 iliyopita.Ukiangalia alizidi urefu wa 30 meters.
Wananunua V8 VX hadi za milioni 400 kuwapa ma RC, DC, DED, RAS, DAS, Wakuu wa Idara, W, N/W, Makatibu, SG, KK etc lakini wanashindwa kujenga kadaraja kasikozidi 30 meters.
Wanafunzi wako darasani wewe unafanya nini JF muda huu[emoji16]
Uko serious kabisa...[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hahahaaaa..... Wa Ufipa huyo bwashee!Mimi nilijua wa Chama Chakavu aisee
Inaonekana ulikuwa msimamizi wa mradi; hence MNUFAIKA!uenda zikawa ni kweli izo gharama ila kwanza tunaomba kuuliza lina urefu wa kilometa ngapi???????
Hahah iwe 5m tu zaidi ya hapo ela imeliwa hizo mbao kule Mgeta zipo nyingi sanaMbao na miti pori hio haifiki hata milioni 2
Ndo huko walikotufikisha tulio wapa dhamana ya kusimamia rasilimali za taifa hili.Ukiangalia alizidi urefu wa 30 meters.
Wananunua V8 VX hadi za milioni 400 kuwapa ma RC, DC, DED, RAS, DAS, Wakuu wa Idara, W, N/W, Makatibu, SG, KK etc lakini wanashindwa kujenga kadaraja kasikozidi 30 meters.
Ujenzi ni suala la ajabu sana, na usiuchukulie poa kabisa, na unaweza kuta mkandarasi aliyefanya hiyo kazi either amerudisha tu hela au kapata hasara.Hizo Mbao si Zinaoza.
Sasa Mkuu angeweka Nguzo za Zege Na juu angetandika Reli labda ningeona aibu. Ila acha nichukue maoni yako yawezekana upo sahihi
Sisi hatujali nakshinakshi za ofisi tunachojali ni Maendeleo ya kweli ya Wananchi wetu wa Tanzania.ila chadema chama chenye nia ya kwenda ikulu mnashindwa hata kuwa na ofisiaibu gani mnaonyeshakwa watu wenu? wanachi wenyewe hawawakubali