MC44
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 2,169
- 3,297
Tozo yako inaenda hapa kijanaKwa hiyo, Samia anasema anaweka tozo kwenye mafuta na simu kwa ajili ya barabara za vijijini, yaani wakazidi kufanya mambo kama haya?
Kwa hizo milioni 31 ningewajengea daraja bora kuliko hili. Angalau columns zingekuwa za concrete na beams za mbao. Kuna siku moja hili daraja litaua, maana hawatajua hizo nguzo za miti kama zimeoza na lita- collapse.
View attachment 1872750