Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
😂😂Hilo daraja lina tofauti gani na lile walilojenga wasukuma (source:Millardayo)Kunambi ni mtu makini sana ila kwa huu ukaguzi ni UTOPOLO amefanya.
Karne hii ya sayansi na technology unajenga daraja kwa miti? Wameshindwa kuweka column kila upande na beam? Daraja ambalo alizidi 15 meter unajenga kwa miti?