Picha: Mbunge wa Mlimba akikagua Daraja la Sh. Milioni 31 lilojengwa kwa miti
Kwa iyo likiliwa na mchwa baada ya miaka 2 watenge bajeti nyingine?
 
Tazama ramani utaona nchi nzuri yenye mito na ................nani anaukumbuka huu wimbo? sijui u;ikuwa na maana gani kwakweli duh!
 
Ukiangalia alizidi urefu wa 30 meters.

Wananunua V8 VX hadi za milioni 400 kuwapa ma RC, DC, DED, RAS, DAS, Wakuu wa Idara, W, N/W, Makatibu, SG, KK etc lakini wanashindwa kujenga kadaraja kasikozidi 30 meters.
Mie naona wananchi hao wapongezwe aisee 'kwa kudiriki' na kujiongeza......bila kusubiri bajeti sijui,na msaada toka serikalini kuu na hivyo kuweza kujijengea hiyo ' Tanzanite bridge' yao' kijijini....... licha ya kuwa na mazingira magumu na umaskini walionao huko vijijini........... kazi kwelikweli.
 
Hii ndiyo kazi inayofanywa na tozo za kwenye miamala kuwanusuru akina mama waja wazito!
 
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.

Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.

Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.

Inabidi waweke
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.

Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.

Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.

Traffic lights kwa ajili ya kusaidia magari yapishane,,
 
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.

Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.

Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.

Alafu mbao za mse prasi sasa.
Hii nchi inaliwa sana
 
Tatizo sio daraja kiuikweli watu wanahitaji daraja, shida ni gharama za Hilo daraja je zinaendana na dhamani halisi?, Kiusalama tunaona hakuna kingo pembeni kuwalinda watumiaji ie watoto pia suala la ustahimilivu je hilo daraja linaweza kuhimili mikikimikiki ya maji yanapoongezeka na kupungua
Ukweli ni kwamba hapa mahali panahitaji daraja makini ambalo kimsingi gharama yake ni kubwa, lakini Walau tupongeze hizi jitihada ndogo zilizofanyika wakati tunasubiri serikali itenge pesa kwa ajili ya ujenzi wa daraja la kudumu.

Kwa hizo mbao na si miti kama ulivyongea ni za gharama sana naona mninga umewekwa darajani.

Kinachotakiwa ni uwekwaji wa miti ya pembeni kuzuia ajali zisizo lazima.
 
Najaribu kuwaza hapa nakosa cha kuandika, TARURA walishirikishwa? Tani ngapi zinapita hapo? Otherwise mwanzo mwema. Kubwa nijua Mhe Kunambi anakusanya sh ngapi hapo kwenye halmashauri yake? maana pale Dodoma he did amazing collection.
Ni kwa pedestrian tuu
 
Mnachoweza Waafrika ni kuwashutumu wazungu kuwa wanataka kuwaua kwakuwa mna nguvu na akili nyingi.
Mengine ni 0+
 
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.

Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.

Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.

Huku mbunge akitembelea hapo na gari la zaidi ya 200m/=!
Ni Tanzania tu...
 
Kwa maji yale yanayoonekana pale kivukoni hilo daraja halita himili vishindo vya masika.
 
Ningependa kumjua au kuona picha ya mkandarasi tu
images (83).jpeg
 
Hahaaa nimekosa kabisa la kuongea i love my country
 
Mwenyewe kasema iyo ni kivuko cha watu kabla ya ujenzi ka ilivo pale salenda ujenz unaendelea
 
Back
Top Bottom