Picha: Mbunge wa Mlimba akikagua Daraja la Sh. Milioni 31 lilojengwa kwa miti
Suala siyo kuona thamani ya hiko kidaraja. Hapa hoja ni kwamba hivi tumekuwa maskini kiasi hicho!??? Kwa nini mzalendo mmoja asiseme anaacha ubunge au utumishi kama serikali haitagharimia daraja la maana!???

Huoni hayo milioni yanaenda kupotea ndani ya muda mfupi, baada ya tumbao hutwo kuoza!??? Hivi ile Benzi ya Mzee Ruksa na kasri ya Mzee wa Msoga ni sawa na madaraja mangapi yenye hadhi sawa na ile ya Magufuli ya Kakongo-Busisi!??? Tanzania inarudi haraka ilikotoka.

Simply, Bi Mkubwa kazi imemshinda mapema sana!!!
Hii daraja lipo katika local scale, imagine 31M doing a bridge thing!, thats little money, they couldnt be fools to wait that long before short-term solution. I personally commend them kwa hatua hio.
 
Hawa Tarura wanatakiwa wajitafakari waziri husika adili nao hiyo kazi bora wangepewa jkt
 
Hii daraja lipo katika local scale, imagine 31M doing a bridge thing!, thats little money, they couldnt be fools to wait that long before short-term solution. I personally commend them kwa hatua hio.
Your argument reflects your level of intelligence. No doubt. Unasema: 1. Daraja ni local scale 2. Milioni 31 ni chache. 3. They cannot wait for too long. 4. Personal commendation kutoka kwako.

To answer you briefly because of lack of time, utafiti unaonesha kwamba over 87% ya ajali duniani hutokana na reckless behavior na reasoning duni za namna hii za kutaka kutafuta shortcuts kwenye mambo ya msingi maishani.

Nakukumbusha tu kwamba kama ingetokea ajali hapo darajali watu wakasombwa na maji au wakavunjika (Mola aepushie mbali), the next morning in two or three days, utaona limejengwa daraja la maana hapo. I dare you!!!

Short cuts are normally not only wrong cuts but also long cuts!!! So, afadhali kukawia lakini kufika salama.
 
Ya kwenu pia yalikua mil 30?
Hapana Mkuu gharama Ilikuwa ni kununua misumari tu na kuwalipa kufuta jasho wale watakao chanja boriti.
Miti Ilikuwa ya bure imepandwa na vijiji pembezoni mwa mito, na ufundi na nguvu kazi ya kuvuta hayo Madogo ni msaragambo Yani ile Siku maalumu iliyopangwa na kijiji wanaume wote wanaenda eneo la kazi kujitolea
 
Tatizo sio daraja kiuikweli watu wanahitaji daraja, shida ni gharama za Hilo daraja je zinaendana na dhamani halisi?, Kiusalama tunaona hakuna kingo pembeni kuwalinda watumiaji ie watoto pia suala la ustahimilivu je hilo daraja linaweza kuhimili mikikimikiki ya maji yanapoongezeka na kupungua
Tatizo ni Daraja, ndio maana limejengwa hilo kwa muda kwa gharama ya Mil 31.
Sina shida na aina ya daraja, inawezekana serikali isiwe na pesa za kujenga daraja kwa sasa, lakini angalau kwa gharama hiyo watu wameweza kusaidika.
Angalia aina ya mbao iliyotumika unafikiri bei yake moja sh. 10/-? Umeesabu mbao ngapi zimetumika? Halafu huu ni MNINGA.
 
Hakika CCM ni janga
Mwenezi anatakiwa kumpongeza mbunge na kamati yake.
Mtendaji mkuu wa Tarura apeleke Eng mbunifu,kwani kwa 31M inaonyesha wananchi wapo tayari zaidi kuchangia daraja imara hata wadau wangepatikana
 
Tatizo ni Daraja, ndio maana limejengwa hilo kwa muda kwa gharama ya Mil 31.
Sina shida na aina ya daraja, inawezekana serikali isiwe na pesa za kujenga daraja kwa sasa, lakini angalau kwa gharama hiyo watu wameweza kusaidika.
Angalia aina ya mbao iliyotumika unafikiri bei yake moja sh. 10/-? Umeesabu mbao ngapi zimetumika? Halafu huu ni MNINGA.
Acha uongo hizo sio mninga, pia usitetee ujinga wakati Kodi zinatumika kipumbavu
 
Kwa kuwa baba yako mjinga unafikiri kila mtu mjinga, Huo ni Mnimnga we pumbaf.

" Urefu wa wa nguzo zilizotumika ni Mita 7 na unene wake ni Mita 0.5, Mbao ni Inchi 3 kwa 8 na Inchi 3 kwa 10 na aina ya Mti ambao Mbao zake zimetumika ni za Mti aina ya Mkarati, niwahakikishie kuwa daraja hili ni imara na litakua na uwezo wa kupitisha Tani 10 na litadumu kwa miaka 10 hadi 15," Amesema Magogo.

Tumia akili usitumie mat,ko kufikiria huyo muhandisi anasema mkàrati
 
Najaribu kuwaza hapa nakosa cha kuandika, TARURA walishirikishwa? Tani ngapi zinapita hapo? Otherwise mwanzo mwema. Kubwa nijua Mhe Kunambi anakusanya sh ngapi hapo kwenye halmashauri yake? maana pale Dodoma he did amazing collection.
Baada ya kukusanya zikafanya nini?
 
Mazingira ya mlimba ni sawa maana kule bila nguvu za wananchi mito mingi Sana harafu ina mamba noma,,, Nahc mirogoro kusini imetelekezwa maana Kama ni uzalisha wa mpunga, magogo, mbao , ufuta, na mkaa wanajitahd lakin Sir Kali inawaangusha
Mambo ya ajabu sana haya. Alafu ndo wanasema eti hamna hela kweli! CCM tumewachoka hamna aibu jamani, kukagua daraja la miti miaka hii? Watanzania nani katuroga? Tunahitaji katiba mpya!
Zi
 
Your argument reflects your level of intelligence. No doubt. Unasema: 1. Daraja ni local scale 2. Milioni 31 ni chache. 3. They cannot wait for too long. 4. Personal commendation kutoka kwako.

To answer you briefly because of lack of time, utafiti unaonesha kwamba over 87% ya ajali duniani hutokana na reckless behavior na reasoning duni za namna hii za kutaka kutafuta shortcuts kwenye mambo ya msingi maishani.

Nakukumbusha tu kwamba kama ingetokea ajali hapo darajali watu wakasombwa na maji au wakavunjika (Mola aepushie mbali), the next morning in two or three days, utaona limejengwa daraja la maana hapo. I dare you!!!

Short cuts are normally not only wrong cuts but also long cuts!!! So, afadhali kukawia lakini kufika salama.
Think big where did it start?, is it bottom up initiative or Top down initiative?, thinking should be expansive, unaelewa maana ya local scale iliotumika hapo? Shangazi zako na wengineo wapige mbizi? unatakaje unaishi nchi gan na umezaliwa wapi na kuishi wapi? Ungelifahamu nahau, methali, hata moja ingekusaidia. Put on their shoes when blurrly into ur fingures.
 
Ndio mtambue umuhimu wa katiba mpya, Mungu ajaalie mh rais aipitishe. Hata yeye atajiona amechelewa mno kuipitisha
 
Haha
Ujenzi wa Daraja la mto Mngeta umefanikiwa, ikiwa zimetumika Tsh. Milioni 31

Mbunge Mlimba mkoani Morogoro, Godwin Kunambi amesema atahakikisha hakuna mwananchi atakayeliwa na mamba katika mto huo

Mapema mwezi Julai, serikali ilianza kutoza kodi kwenye miamala kwa nia ya kuboresha miundombinu ya barabara nchini

View attachment 1872620
Hahahahahahaha tumepigwa Wana mlimba
 
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.

Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.

Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.

Hilo ni daraja au kichanja cha kuanikia samaki? Jamani tuambieni ukweli
 
Daraja lililoteta story na maswali mengi kugharimu 31m(if not mistaken)

Nukuu ya mkandarasi

“HATUJAWEKA UKINGO KWASABABU WATOTO WATAOGOPA KUSOGELEAKWA HOFU YA KUDONDOKA”

“Safety”
Kwake ni last option.

huu ni umaskini wa fikra au wa kitu gani!?
Uyu nae ameaminika kupewa ukandarasi!?

sometime sisi wenyewe tunafundishana kuchukia uongozi.

Soma: Picha: Mbunge wa Mlimba akikagua Daraja la Sh. Milioni 31 lilojengwa kwa miti
 
Back
Top Bottom