kabisa linaweza kuwa kivutio cha utalii likiweza kufanyiwa promo yakutoshaDaraja linafanana kama lakivetinam kwenye movie za kivita staring Anodi๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa linaweza kuwa kivutio cha utalii likiweza kufanyiwa promo yakutoshaDaraja linafanana kama lakivetinam kwenye movie za kivita staring Anodi๐
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
Miaka 60 ya Uhuru Kuna uzinduzi wa daraja la miti.hongereni Sana maccmPICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
Kumbeeee !!๐คฃ๐๐๐๐๐ milioni 31 ya Zimbabwe? ๐คฃ๐คฃ
Ya kwenu pia yalikua mil 30?Madaraja Kama Haya yalikuwepo miaka ya nyuma kidogo huko kwetu kibosho na yalikuwa yanapitisha magari ya mizigo na abiria bila Shida Kwa hiyo sishangai...
Kwa lugha nyepesi hapo wametupapasa tu wala hawajatupiga.Hapo palistahili kujengwa kwa bilioni kumi shilingi za Kitanzania. Shilingi milioni 31 ni ndogo sana, kwa kazi kubwa ya kizalendo kama hiyo. Kimsingi hajawatuibia sana!
๐๐๐ Feasibility study ilifanyikaPICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti...
Miaka,60 ya Uhuru bado ujenzi wa mafaraja ni wa miti!!![emoji38][emoji38][emoji38]
Ya huko yana viwango gani mkuu tofauti na hili! Tudadafulie.Yapo lakini sio kwa viwango hivyo!!
Kama hujawai kupata shida hasa za vijijini hasa adha ya mawasiliano kutokana mvua n Mito mikubwa, huwezi kuona thamani ya hili daraja, tujikumbushe daraja mneso/kiteputepu, ziwe na kamba/miti, kwanza mnajua alietoa hizo pesa, mnajua wamehangaika miaka mingapi, Mungu awasaidie likiharibika watatengeneza tena na kuongezea ujuzi na ubora. Hongereni kwa hio hatuaPICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
Daraja linafanana kama lakivetinam kwenye movie za kivita staring Anodi๐
Suala siyo kuona thamani ya hiko kidaraja. Hapa hoja ni kwamba hivi tumekuwa maskini kiasi hicho!??? Kwa nini mzalendo mmoja asiseme anaacha ubunge au utumishi kama serikali haitagharimia daraja la maana!???Kama hujawai kupata shida hasa za vijijini hasa adha ya mawasiliano kutokana mvua n Mito mikubwa, huwezi kuona thamani ya hili daraja, tujikumbushe daraja mneso/kiteputepu, ziwe na kamba/miti, kwanza mnajua alietoa hizo pesa, mnajua wamehangaika miaka mingapi, Mungu awasaidie likiharibika watatengeneza tena na kuongezea ujuzi na ubora. Hongereni kwa hio hatua