Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
View attachment 1872581
Ukweli ni kwamba hapa mahali panahitaji daraja makini ambalo kimsingi gharama yake ni kubwa, lakini Walau tupongeze hizi jitihada ndogo zilizofanyika wakati tunasubiri serikali itenge pesa kwa ajili ya ujenzi wa daraja la kudumu.PICHA YA SIKU: Hili ni Daraja jipya katika Mto Mngeta uliopo katika mji wa Mlimba wilayani Kilombero.
Daraja hili limejengwa kwa miezi 7 kwa thamani ya shilingi milioni 31, na limejengwa kwa miti.
Pichani ni mbunge wa jimbo la Mlimba, Godwin Kunambi, akikakagua mradi.
View attachment 1872581
Nimeandika kabla sijakusoma, umeona nilichoona. Hongera.Hongera zao kwa kutafuta suluhisho la muda mfupi. Mamilioni zaidi yatahitajika kutengeneza daraja la kudumu.
Katiba mpya itasaidia nini hapo? Ila hawa jamaa bhana miezi 7 daaraja la miti na ukaguzi wa Mh juuMambo ya ajabu sana haya! Alafu ndo wanasema eti hamna hela kweli!! CCM tumewachoka hamna aibu jamani, kukagua daraja la miti miaka hii???? Watanzania nani katuroga? Tunahitaji katiba mpya!!
Gharama walizopoteza kumkamata Mbowe ambayo sio tija kwa taifa si wangewapa wanakijiji hao wajenge daraja.Kunambi ni mtu makini sana ila kwa huu ukaguzi ni UTOPOLO amefanya.
Karne hii ya sayansi na technology unajenga daraja kwa miti? Wameshindwa kuweka column kila upande na beam? Daraja ambalo alizidi 15 meter unajenga kwa miti?
Ukiangalia gharama halisi ya kuweka hilo daraja kiuchumi hiyo pesa ni kidogo sana.Hiyo mimbao ndo milioni 31?
Inawezekana mana humu kuna mainjinia watatusaidia.Ukiangalia gharama halisi ya kuweka hilo daraja kiuchumi hiyo pesa ni kidogo sana.
Huenda zikawa ni kweli izo gharama ila kwanza tunaomba kuuliza lina urefu wa kilometa ngapi?
Alafu tunalazimishwa tuilipe kwa miamala ya simuHiyo milioni 31 inaweza zolewa na mafuriko ndani ya masaa kadhaa, CCM akili zenu zimechoka sana.