Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Inasikitisha. Kulikuwa hakuna utii bila shuruti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DahInasikikisha. Kulikuwa hakuna utii bila shuruti.
View attachment 2137677
She is a king 😀😀Kipindi cha Kampeni muwe mnafunguwa macho na masikio mnapo pokea kanga na kofia.....mtambuwe kesho yenu mtailaje
Katiba mpya ndio utakua mwisho wa haya yote,kipigo na ukatili huu ni wa kinyama na kishenzi regardless what, ushenzi huu kutoka police inaonyesha tunaishi in a police state, ningekua mimi ni hakimu hii kesi I geisha leo kwa kumteua independent Doctor amfanyie uchunguzi, ripoti yake ikionyesha alipigwa ,ushahidi wote dhidi yake utakua batili na atakua huru na uwezo wa kumfungulia mashitaka waziri wa horror affairs, na washenzi wengine humu wanafurahia haya, it's crazyInasikikisha. Kulikuwa hakuna utii bila shuruti.
View attachment 2137677
😀😀😀Mfalme sijui mungu wakujiita kala kichapo
Ova
Polisi wamempiga munguMfalme sijui mungu wakujiita kala kichapo
Ova
Kama Yesu alipigiliwa misumali yeye ni nani?Dah
Mungu kala kibano sio?
Ok
Walishamuona fks huyo😂😂😀😀😀
Polisi wameshindikana wanampiga hadi mungu mfalme!
😀😀Walishamuona fks huyo😂😂
Kama ana maajab angeyeyuka😂😂
Ova