Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
😂😂😂😂ufalme umeisha kwa virungu vya mgambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama yeye mfalme kapigika kiasi hichi vipi hali ya makerubi?
mungu anakula kichapo?Aisee nimemuona hapa kwa habari.. amechapika vilivyo aisee.
Yani kachakaa aisee.
Yani huwezi amini kabisaDuuh mfalme kama hajapiga make ups yuko kama kenge
Inasikikisha. Kulikuwa hakuna utii bila shuruti.
View attachment 2137677
Kwanini Yesu alipigiliwa misumali?Kama Yesu alipigiliwa misumali yeye ni nani?
Tulia we kerubiKatiba mpya ndio utakua mwisho wa haya yote,kipigo na ukatili huu ni wa kinyama na kishenzi regardless what, ushenzi huu kutoka police inaonyesha tunaishi in a police state, ningekua mimi ni hakimu hii kesi I geisha leo kwa kumteua independent Doctor amfanyie uchunguzi, ripoti yake ikionyesha alipigwa ,ushahidi wote dhidi yake utakua batili na atakua huru na uwezo wa kumfungulia mashitaka waziri wa horror affairs, na washenzi wengine humu wanafurahia haya, it's crazy
Ndio hivyo akiwa kwenye makeup utamkomaDuuh mfalme kama hajapiga make ups yuko kama kenge
Hakyanani... Ndo yeye!!??View attachment 2137807
Huyo siyo yeye, yeye ni huyu. Laba kasepa kifalme
Police hawakuja bila kuitwa. Watu wenye ushahidi wa vitendo wanavyofanyiwa watu humo ndani ndo waliita police.Haya matendo hovyo ya polisi ni ya kuyakemea mtuhumiwa anapigwaje hivyo huo ni uonevu ni wa kutisha sana ajabu tunamdhihaki
Mkorogo mwili mzimaDuuh mfalme kama hajapiga make ups yuko kama kenge