maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,311
- 15,640
Upo dunia gan aisee...unajua make up au unaziskia tu?Nahisi hapa tumepigwa na kitu kizito quietly two different people View attachment 2137883
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo dunia gan aisee...unajua make up au unaziskia tu?Nahisi hapa tumepigwa na kitu kizito quietly two different people View attachment 2137883
Polisi walitakaga kuniua kisa parking nilipokua nimeenda kwenye ATM.Haya mambo ni ya kukemea kwa nguvu zote, leo Zumaridi kesho inaweza kuwa wewe au mimi
She is a QueengShe is a king 😀😀
Kwamba Polisi wako sahihi kumpiga?Si alijidai akili mbili kakutana na wendawazim wenzake
Nahisi hapa tumepigwa na kitu kizito quietly two different people View attachment 2137883
We acha tu.... watu ambao hawajawahi kupata uzoefu wa haya mambo wanachukulia poa sana. Ila tuna jeshi katili sana.Polisi walitakaga kuniua kisa parking nilipokua nimeenda kwenye ATM. Nilichezea vitako vya bunduki nikachakaa mara 5 ya mfalme (bunduki ni nzito mazee acha kabisa)
Na hao wenzake mashitaka yao yana dhamana, na wameambiwa wakiyatimiza wako nje, lakini wamekataa wamesema wataendelea kubaki jela na mfalme wao!!Ile misukule ya siku ile imevunjwavunjwa mikono.
Serikali noma wazee.
Hii rahisi Sana, mahabusu, wanasambazwa jela tofauti selo tofauti, imeisha hiyo!Na hao wenzake mashitaka yao yana dhamana, na wameambiwa wakiyatimiza wako nje, lakini wamekataa wamesema wataendelea kubaki jela na mfalme wao!!kweli akili hizi ni tabu!!ila ni suala la muda tu watakubabali dhamana tu, na mwisho wa siku atabakia mwenyewe tu, huko jela!!kesi yake haina dhamana uendelee kuwa ndani tu hata miaka 2, kisa mfalme!!!
Compare and contrast. Wanawake wengine bila make-up. Ni sheedaNahisi hapa tumepigwa na kitu kizito quietly two different people View attachment 2137883
Hahah, ila haya maneno aliambiwa Yesu mjuemungu alishindwa kujiokoa?
halafu mfalme kwa mwanamke anakuwaje kwann asijiite malkia TU
Ni vile mkorogo umedunda tuHuyo zumaridi mwenyewe ukimuangalia vzr utaona kataswira ka ugaidi ndani yake[emoji4]