Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mungu kachakaa kwa kipigo cha mbwa koko
Tulia we kerubi
Ila mungu ni pisi kali mjue!!View attachment 2137807
Huyo siyo yeye, yeye ni huyu. Laba kasepa kifalme
She is a Queeng
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulia we kerubi
Aisee mkorogo noma....pia unaweza ukakuta damu sio salama.Nahisi hapa tumepigwa na kitu kizito quietly two different people View attachment 2137883
Ni kitisho tuKWANI HUYO MFALME NI WA UFALME UPI? JE NI CHEO AU NI JINA LAKE???
Katiba mpya na watawala walewale ni sawa na kuwa na msitu mpya lakini ngedere ni walewaleKatiba mpya ndio utakua mwisho wa haya yote
Tofauti kabisa!Yani huwezi amini kabisa
Ubishi na jeuri! Kiburi pia!Hii inajustify vipi kupigwa kwake?
Ngoja mbu zifanye yao kwanza uone.Na hao wenzake mashitaka yao yana dhamana, na wameambiwa wakiyatimiza wako nje, lakini wamekataa wamesema wataendelea kubaki jela na mfalme wao!!kweli akili hizi ni tabu!!ila ni suala la muda tu watakubabali dhamana tu, na mwisho wa siku atabakia mwenyewe tu, huko jela!!kesi yake haina dhamana uendelee kuwa ndani tu hata miaka 2, kisa mfalme!!!
Ndio! Hata Mungu Yesu nae si alitandikwa mijeledi na Wanyabi🤣😂😅😆😁Dah
Mungu kala kibano sio?
Ok
Kama yule mwingine alivyopataga kipigo mpaka akafa!Dah
Mungu kala kibano sio?
Ok
Haya pisi Kali yako hiyo hapo. Pambana na hizo fallen soldiers.Ila mungu ni pisi kali mjue!!
Eti pisi kali............Kumbe bila make up ni kama ebitoke tu