Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,710
- 2,951
Mkuu una jicho kali sana. Umeongea kitu kilicho ndani ya akili yangu.Huyo zumaridi mwenyewe ukimuangalia vzr utaona kataswira ka ugaidi ndani yake[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una jicho kali sana. Umeongea kitu kilicho ndani ya akili yangu.Huyo zumaridi mwenyewe ukimuangalia vzr utaona kataswira ka ugaidi ndani yake[emoji4]
Yeye aliyokuwa anafanya akizuia police wasitimize majukumu yao alitegemea nn?makerubi wake siku ya kwaza waliwafanyia vurugu sana polis wakaja machizi wezaoKatiba mpya ndio utakua mwisho wa haya yote,kipigo na ukatili huu ni wa kinyama na kishenzi regardless what, ushenzi huu kutoka police inaonyesha tunaishi in a police state, ningekua mimi ni hakimu hii kesi I geisha leo kwa kumteua independent Doctor amfanyie uchunguzi, ripoti yake ikionyesha alipigwa ,ushahidi wote dhidi yake utakua batili na atakua huru na uwezo wa kumfungulia mashitaka waziri wa horror affairs, na washenzi wengine humu wanafurahia haya, it's crazy
Makeup zinawafanya vibayaInasikikisha. Kulikuwa hakuna utii bila shuruti.
View attachment 2137677
Makerubi watakuwa wamechakaa kwa kipigo.
Hii inajustify vipi kupigwa kwake?Police hawakuja bila kuitwa. Watu wenye ushahidi wa vitendo wanavyofanyiwa watu humo ndani ndo waliita police.
Waliohusika watapata laana milele 😂🤣. Ila sasa huyo mfalme kwanini hakutumia uwezo wake kuleta gharika kuwamaliza hao waliompiga? Maana makerubi wake wameshindwa vita.Polisi wamempiga mungu
Kerubi ni tofauti na chawa??😆😁tupeane elimu mkuuTulia we kerubi
KabisaKama Yesu alipigiliwa misumali yeye ni nani?
Mungu atusaidie tu waja wakeMkuu una jicho kali sana. Umeongea kitu kilicho ndani ya akili yangu.
wenyewe wanajiitaga female kingShe is a king 😀😀
Mbona kuna Chifu mwanamke piamungu alishindwa kujiokoa?
halafu mfalme kwa mwanamke anakuwaje kwann asijiite malkia TU
Nahisi hapa tumepigwa na kitu kizito quietly two different people
Kumbe bila make up ni kama ebitoke tuAisee nimemuona hapa kwa habari.. amechapika vilivyo aisee.
Yani kachakaa aisee.