Picha: Mfalme Zumaridi akionyesha namna alivyoumia kwa kipigo cha Polisi

Inasikikisha. Kulikuwa hakuna utii bila shuruti.
View attachment 2137677
Katiba mpya ndio utakua mwisho wa haya yote,kipigo na ukatili huu ni wa kinyama na kishenzi regardless what, ushenzi huu kutoka police inaonyesha tunaishi in a police state, ningekua mimi ni hakimu hii kesi I geisha leo kwa kumteua independent Doctor amfanyie uchunguzi, ripoti yake ikionyesha alipigwa ,ushahidi wote dhidi yake utakua batili na atakua huru na uwezo wa kumfungulia mashitaka waziri wa horror affairs, na washenzi wengine humu wanafurahia haya, it's crazy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…