mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kwanza walifatwa kistaarabu,waka beepIle misukule ya siku ile imevunjwavunjwa mikono.
Serikali noma wazee.
Basi mara ya pili wakapigiwa wao
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza walifatwa kistaarabu,waka beepIle misukule ya siku ile imevunjwavunjwa mikono.
Serikali noma wazee.
Mwanzo alipofatwa walionesha kupingaAjabu kuna nyumbu zinaona ni sawa tu na wanashangilia kama mazuzu! This aint right at all.
Hakuna justification.Mwanzo alipofatwa walionesha kupinga
Mzee ,sasa kama kawaida ya polis ikabdi watumie kanguvu kidogo
Ova
A female King 🤣She is a king 😀😀
🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii naiweka kwenye frame😁😄 naizungushia na medani na vikombe, comment ya ushindiPolisi wa bongo wamevunja record.
Ndio polisi wa kwanza kumpa mitama na mangumi mungu.
Jamani mnampiga mfalme?
Huyu ilibidi achapwe risasi ya kichwa kabisa,maana ni jambazi kama majambazi wengine!
KabisaHuyu ilibidi achapwe risasi ya kichwa kabisa,maana ni jambazi kama majambazi wengine!
Kwa hiyo umezawadiwa bando baada ya kuniita kenge mkuu ha ha ha kwa hiyo mtaalamu sheria inasema mtu akigoma apigwe hebu nipe elimuSi alikataa kukamatwa!! sheria inasemaje? unamuacha? kenge we
Ndiyo na mimi nashangaa mkuu na ni hawahawa wanawalaumu polisi kwa mauaji yaliyofanyika Mtwara ila huku mtuhumiwa kupigwa na polisi wanafurahiAjabu kuna nyumbu zinaona ni sawa tu na wanashangilia kama mazuzu! This aint right at all.
Kwani PGO inasemaje?
Hapana.Human rights violation
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama yeye mfalme kapigika kiasi hichi vipi hali ya makerubi?