Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #141
Una akili nyingi sana kichwani mwako ephen wangu na wenye kufanya kazi kwa haraka na wepesi zaidi ya Compyuta. Wewe ni zaidi ya Watu wanaofanya kazi kwenye mashirika ya CIA na MOSSAD ambao huwa ni akili kubwa sana.Wewe uliyetulia umepewa cheo gani? Kwanini unamuonea wivu Lucas🤔
Kwa uchizi wako nani akupe cheo? Au unafikiri kuna ofisi ya Umma inayoweza kuongozwa na Chizi?Mimi sihitaji cheo kama ningetaka ningekipata tena siku nyingi tu lakini siyo mtazamo wangu kimaisha napenda kuishi maisha very private. Mimi simuonei wivu bali namshauri njia anayotumia ni ndefu sana na haitamfikisha atakapo, uchawa wake umepitiliza kiasi hata hizo mamlaka za uteuzi zinakuwa na shaka na upeo wake.
Sema kweli Luca? [emoji23][emoji23][emoji23]Hata wewe unaweza kununua ukidhamiria kununua.
Ndio unaweza kabisa kununua.Sema kweli Luca? [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuache na maisha yetu.😉Mimi sihitaji cheo kama ningetaka ningekipata tena siku nyingi tu lakini siyo mtazamo wangu kimaisha napenda kuishi maisha very private. Mimi simuonei wivu bali namshauri njia anayotumia ni ndefu sana na haitamfikisha atakapo, uchawa wake umepitiliza kiasi hata hizo mamlaka za uteuzi zinakuwa na shaka na upeo wake.
Chawa plus dah 😂😂😂😂Ndio Mwenyewe. Ni Binti mwenye hekima ,busara , unyenyekevu,upendo na ukarimu mkubwa sana. Hana makuu wala majivuno mtoto wa watu. Hana makidai wala dharau . Ni mpole sana huyu dada hata katika kuongea .siyo mtu wa kujikweza wala kiburi. Ukianza kumsikiliza akiongea unakua unatamani aendelee tu kuongea.
Huyu ni mwanamamaWewe ni mwanaume? Una mke au mtoto?
Peleka ujinga wako huko.Huyu ni mwanamama
SawaTuache na maisha yetu.😉
Ushahidi?Huyu ni mwanamama
Nisome uelewe, mimi sihitaji cheo napenda kuwa na maisha binafsi zaidi kuliko huo upuuzi wa vyeo, wewe akili yako imegota kuwa maisha yanapatikana kwa vyeo tu ndiyo maana unakubali kujitoa akili kusifia ujinga ujinga ili tu upate cheo, hayo ni mawazo mgando kabisa.Kwa uchizi wako nani akupe cheo? Au unafikiri kuna ofisi ya Umma inayoweza kuongozwa na Chizi?
Tena uache kabisa kutufuatilia. Wewe endelea na mazoea na machizi wenzako huko. wewe unafikiri ephen ni wa kuzungumza na machizi aina yako. tafuta wa kufanana na wewe.Sawa
Wewe domo zege utaishia kula kwa macho tu bwege wewe.Tena uache kabisa kutufuatilia. Wewe endelea na mazoea na machizi wenzako huko. wewe unafikiri ephen ni wa kuzungumza na machizi aina yako. tafuta wa kufanana na wewe.
Ni mwanachama wa UWT.Ushahidi?
Una uhakika? Leo nipo kumtetea LucasNi mwanachama wa UWT.
Ndiyo.Una uhakika? Leo nipo kumtetea Lucas
Huna hoja.Ndiyo.
Naona una hasira sana baada ya kuona hakuna mwenye muda na wewe . Kila unayemrukia na kumparamia anakuona wewe Chizi tu. Hakuna mwenye akili Timamu anayeweza kukufuatilia na kuwa karibu na mtu aina yako unayefanya kazi ya kutukana na kuporomosha matusi utafikiri kichaa au mwendawazimu. Una mdomo mchafu na unao nuka matusi utafikiri Chemba ya choo iliyoziba..Wewe domo zege utaishia kula kwa macho tu bwege wewe.
Ni mwanachama wa UWT unabisha ?Huna hoja.