Waziri wa Kaskazini
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 7,981
- 17,743
hahahahha!!!! Wewe jamaa una akili sana watu wachache sana kama wewe ndiyo mnao takiwa kusoma Harvard Unverisit.....nilichogundua kwako "una hamu kuliwa"
Ongezea na korosho ili posa yako ikubaliweNahaidi kukupa Gunia sita za nyanya na gunia 56 za pilipili..... Na gunia 8 za nyanya chungu
nijitokeze mara ngapiMwenye bikra ajitokeze dau nono kutolewa
ZIPOKama una bikra zote Mimi nitatoa zaidi ya hiyo posa
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Labda tungeanza kwako kwanza, ww uliolewa kwa mahari kiasi gani?Wasalam wakuu... Nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)
Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]
NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala
karibuni[emoji120]
sijaolewa bado, single AF!Labda tungeanza kwako kwanza, ww uliolewa kwa mahari kiasi gani?
Wakati wenzake wanazotoaaa bureeeWasalam wakuu... Nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)
Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]
NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala
karibuni[emoji120]
Oooh sawa binti, Mungu humpa kila mtu kwa wakati wake.sijaolewa bado, single AF!
Duuukwahy umeona wivu mwanamke mwenzio mbaya kaolewa hlf we mzuri bado unajaza choo kwenu au ?
Write your reply...
yule jamaa ni mshamba,we unamuonaje kwani!!!
Katoa sh.ngapi wakati mwingine kuolewa ni bahati ya mtunmeona wivu sana! sio kidogo
Kuoa kwa mahari kubwa ni biashara ya utumwa.Wasalam wakuu nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)
Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]
NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala
karibuni[emoji120]
Kama unamjua bikira nikotayari kutoa mahari milioni10 mabilioni yahuyo jaama sina ila kibongo bongo hataikiongezeka kidogo sio mbayaWasalam wakuu nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)
Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]
NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala
karibuni[emoji120]
tafsiri ya mshamba ni nini? mshamba lakini ana maweWrite your reply...
yule jamaa ni mshamba,we unamuonaje kwani!!!