Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

Nahaidi kukupa Gunia sita za nyanya na gunia 56 za pilipili..... Na gunia 8 za nyanya chungu
Ongezea na korosho ili posa yako ikubaliwe
1541994986264.png


1541995040697.png
 
Wasalam wakuu... Nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)

Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]

NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala

karibuni[emoji120]
Labda tungeanza kwako kwanza, ww uliolewa kwa mahari kiasi gani?
 
Wasalam wakuu... Nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)

Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]

NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala

karibuni[emoji120]
Wakati wenzake wanazotoaaa bureee
 
Write your reply...
yule jamaa ni mshamba,we unamuonaje kwani!!!


Hahaa kok alat ni tajiri mshamba kweli, na pesa zote zile alizo nazo ameenda kuoa demu mbaya..wanaume tukipata pesa tunakimbilia mademu wazuri wakati kok alat anakimbilia mademu wabaya de locci
 
Ndoa yao idumu tu tunawaombea, sio mahari nyingi halafu ndoa miezi 6 hakuna kitu, kila raheri kwake mdada ndiyo bahati yake hiyo
 
Wasalam wakuu nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)

Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]

NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala

karibuni[emoji120]
Kuoa kwa mahari kubwa ni biashara ya utumwa.

Au kununuliwa kama ng'ombe.
 
Wasalam wakuu nimekua inspired na hii habari ya tajiri Kok alat alietoa mahari ghali kwa ajili ya kumuoa binti wa kisudan Nyalong Ngog.
swali langu, kibongobongo mtu anaweza kutoa mahela yote hayo kisa binti ni bikra?(mana kama uzuri sijaona uzuri wake kwakweli[emoji23][emoji23] labda urefu mana mimi ni kafupi!)

Kama yupo mwanaume wa sampuli ya Kok Alat aje hapa tumuone! af tuongee biashara mi mwenyewe nipo kama yule dada tuu[emoji85][emoji85]

NB.1.mimi ni mwanamke! asipatikanae wa kuhoji jinsia yangu....
2. povu sio ruksaa msije mkanipopoa mi naumwaa nkitolewa povu nazimia #idibala

karibuni[emoji120]
Kama unamjua bikira nikotayari kutoa mahari milioni10 mabilioni yahuyo jaama sina ila kibongo bongo hataikiongezeka kidogo sio mbaya
 
Back
Top Bottom