Picha: Msaada tatizo sehemu za siri

Asingeweka picha hao hao wangeomba picha.
 
Kweli kaka, kila mtu kuna anavyofkiria yeye bila kujua kwamba lengo nikupata suluhisho. Ahsante kwakua real kuhusiana na tatizo langu. Umenichana kiume
 
.........😊😊😊 jf is very interesting, mtu ametoa taarifa kwenye heading kabisa kwamba kuna picha na inahusu sehemu za Siri, Sasa mtu anafungua anakutana na hizo sehemu za Siri then anaanza kulalamika na kum-beza mtoa post, shida yetu memba wa humu tunadhani kukosoa na kubeza ndio u-great thiker, kuna uwezekano jf ndo kambi kuu ya watu wenye changamoto ya afya ya akili...........back to the topic, mkuu pole sana, mimi sio daktari ila kwa asilimia kubwa magonjwa ya zinaa dalili zake kubwa ni kuanza kwa vipele na miwasho kwenye uume au korodani, ni wazi umepita mahali sio sahihi, muone daktari wako kabla situation haijawa worse, note that kondom sio kwa ajili ya kuzuia mimba tu...........
 
Naona ushaloa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…