Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Mnataka kuona Nini wakuu 😂mimi pia napata hiyo shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka kuona Nini wakuu 😂mimi pia napata hiyo shida
Akili zako zipo sawa kabisa hauna tatizo lolote ?2006
Asingeweka picha hao hao wangeomba picha.Ukihitaji msaada na umeweka picha kama hivi madaktari walio JF ni rahisi kujua hata wakakupa ABC kuliko ungeandika kwa maneno tuu, sijaona kama umekosea as long as umeweka kwenye jukwaa sahihi la afya. Ushauri wangu nenda hospitali ukachunguzwe na mtaalamu humu wapo madokta ila utakutana na wasio madokta wenye stress kwanza wakutukane wewe.
Kweli kaka, kila mtu kuna anavyofkiria yeye bila kujua kwamba lengo nikupata suluhisho. Ahsante kwakua real kuhusiana na tatizo langu. Umenichana kiumeNa asikutishe mtu eti hajapenda ulivyopost kuna mambo hayaelezeki bila picha na unaeumwa ni ww ukipata madhara zaidi yeye hayupo ww pambania tiba yako usisikilize maneno ya kila mtu mwingine hakujui na atafurahia ukiteseka. Pole sana nanuwe makini usiamini mtu kwa kumtazama
Kaswende hio awahi hospital kabla haijasambaa mwili mzima ni noma tetekuwanga ikasomeNimejukuta nazoom picha
Samahani mtoa mada
Shukrani mwambaDaah, pole mwamba....
Hebu wapi hospital ukapate tiba....
Uache ku.tomba kavu Mbua wewe utakufa siku nyingine nicheck nikupe bull au rough rider usipite peku utanasaKweli kaka, kila mtu kuna anavyofkiria yeye bila kujua kwamba lengo nikupata suluhisho. Ahsante kwakua real kuhusiana na tatizo langu. Umenichana kiume
Nakubali chiefUache ku.tomba kavu Mbua wewe utakufa siku nyingine nicheck nikupe bull au rough rider usipite peku utanasa
kwishaHabari
Naomba kufahamu hili ni tatizo gani? limesababishwa na nini? na kuhusu tiba yake pia tafadhali. View attachment 2730261
Ukihitaji msaada na umeweka picha kama hivi madaktari walio JF ni rahisi kujua hata wakakupa ABC kuliko ungeandika kwa maneno tuu, sijaona kama umekosea as long as umeweka kwenye jukwaa sahihi la afya. Ushauri wangu nenda hospitali ukachunguzwe na mtaalamu humu wapo madokta ila utakutana na wasio madokta wenye stress kwanza wakutukane wewe.
Kubwa ???? Kubwa which ?kama umezini nenda hospitali .....au hiyo ni jnja yako kuweka picha ya umbile kubwa 😳 😳 😳 😳
Niloe kisa picha tena yenye tatizo?? Mkuu sina nyege mshindo kiasi hicho. Labda angekuwa ameweka kwenye jukwaa la wakubwa ningefungua na mindset ya kingonongono, but kaomba msaada nina mindset ya kutoa mawazo apate tiba.Naona ushaloa
Ushawahi kuugua?Hiyo ni HPV naambiwa haina dawa ila chanjo pekee kabla hujapata.
AsanteNiloe kisa picha tena yenye tatizo?? Mkuu sina nyege mshindo kiasi hicho. Labda angekuwa ameweka kwenye jukwaa la wakubwa ningefungua na mindset ya kingonongono, but kaomba msaada nina mindset ya kutoa mawazo apate tiba.
Mpwayungu Village njoo hukuHabari
Naomba kufahamu hili ni tatizo gani? limesababishwa na nini? na kuhusu tiba yake pia tafadhali. View attachment 2730261
Kwanini usiweke yako kwanza??weka picha yakipapa basii?[emoji39]