Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,528
Of coz hao team wema nahs wote hawajaenda shule coz sometimes wanakataa vtu vya kwel yaan penye ndio huweka hapana vice versa
Kwa shida na raha...mpaka kifo kiwatenganishe...#teamloyal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of coz hao team wema nahs wote hawajaenda shule coz sometimes wanakataa vtu vya kwel yaan penye ndio huweka hapana vice versa
Team yake wema wanapenda kuchamba hata kama kitu cha ukweli nashindwaga kuelewa cjui ni Hq ndogo au.nini.sio kila lazima ya kitu waongee
Kwa shida na raha...mpaka kifo kiwatenganishe...#teamloyal
wajumbe kamati kuu NEC
Stupid question, Stupid answer. GOOD
Madogo flani kila kukicha JF lazima ukute thread zao mara wema mnafki,mara diamond anunua ndege,mara wema afuturisha kijiji chote cha bongo Movie.Hao ndio hbr za huku JF wee nenda JF celeb angalia kunapost ngapi na view wangapi?Wanatisha utadhani mafreemason.Diamond na Wema ni kina nani??
wajumbe kamati kuu NEC
Nshamfollow kaka mtunisy instagram, kaongea point sana, ila nashangaa tu huyu kaka yetu huu UMBEA na kumfuatilia wema sepetu na ndomo kaanza lini, maana jamaa jinsi alivyo na mambo aliyoyafanaya hata haviendani, mi nta ku follow tu insta kwa kuwa umenifuraisha sana leo japokuwa tu aliyetoa ujumbe ndo sikumtegemea, unajua nilikuwa nakuheshimu sana mtunisy? We hujui tu
Au yy hakualikwa?????
Team wema sasa kama kawaida yao, wamemchamba maskini kaka watu, jamaa mwenyew hata hajui kuongea na kigugumizi chake
Sasa team wema imenishangaza tu jinsi waavyochamba , yani hawaeleweki hata kidogo, jamaa kawapa makavu live, eti mmoja wa tea wema anakwambia eti wema na ndomo wameshaona kisir kabla ya ramadhan et walifunga ndoa ya siri kukwepa umbea, nikasema labda sio mama ubaya huyu na ndomo huyu tunayemjua sie
...hivi mnamjua aliyeanzisha opinion polls kwenye magazeti mwaka 1995?
Naona mama ubaya message imemfikia jana ka panick kutwa nzima anapost picha zake na hawar yake ndomo anakwambia wenye wivu wajinyonge , yani watu waache kumuonea wivu K-LYN kapata billionare mengi wamuonee wivu yeye hii si itakuwa miujiza? Mwenzie anajengewa shule na miradi ya maana yeye kutwa anatake selifi na hawar yake ambaye anamdanganyag kwa perfume na chupi za ulaya
Ndio ushangaeee eti anasema hadi daku watu tushamchokaa kwanza anamzeekea daimond,naamini daimond atakuja aoe msichana mbichiii huyo wema ni wa short time tu hana jipyaaa,badala apige kazii amekalia kujifyotoa hizo picha atazila labdaaa
mmh yani ndomo angemchukua mtoto hamisa mobeto, mtoto mkaliii halafu mbichi , kwanza wameendana kishenzi kuliko hata huyo sugar mami wake mama ubaya yani hata hawaendani mfyuuuu, binamu ukimuona mama ubaya live utamkimbia ana komwe ka dafu la kimbiji sura imemshuka ka pumbu za muhogo mchungu
mmh yani ndomo angemchukua mtoto hamisa mobeto, mtoto mkaliii halafu mbichi , kwanza wameendana kishenzi kuliko hata huyo sugar mami wake mama ubaya yani hata hawaendani mfyuuuu, binamu ukimuona mama ubaya live utamkimbia ana komwe ka dafu la kimbiji sura imemshuka ka pumbu za muhogo mchungu
mmh yani ndomo angemchukua mtoto hamisa mobeto, mtoto mkaliii halafu mbichi , kwanza wameendana kishenzi kuliko hata huyo sugar mami wake mama ubaya yani hata hawaendani mfyuuuu, binamu ukimuona mama ubaya live utamkimbia ana komwe ka dafu la kimbiji sura imemshuka ka pumbu za muhogo mchungu