Picha: Mtunisi awachana "LIVE" Diamond na Wema

Picha: Mtunisi awachana "LIVE" Diamond na Wema

Mbona sijaona jina la Diamond na Wema kwenye hii post?
 
mmh yani ndomo angemchukua mtoto hamisa mobeto, mtoto mkaliii halafu mbichi , kwanza wameendana kishenzi kuliko hata huyo sugar mami wake mama ubaya yani hata hawaendani mfyuuuu, binamu ukimuona mama ubaya live utamkimbia ana komwe ka dafu la kimbiji sura imemshuka ka pumbu za muhogo mchungu

Hahahahaha binamu umeshindikana. Naomba basi hiyo dictionary unayoitumia coz vichambo vyako vipo unique. "Komwe kama dafu la kimbiji" me hoi

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kwani wanaofuturu kwa mahawara ni Diamond tuu mtunis kawaona wengi.

Wengi wakina nan waliofutur kwa hawara na mama yake halafu wakajianika mitandaoni watu wote wakajua? Labda mimi sijui aya tuambie wewe
 
Mbona yeye anazini na msanii mwenzake Batuli watu hawamuhukumu ?? Binaadamu bwana Ya MUNGU muyaachage atawahukumu yeye mwenyewe !
 
Wengi wakina nan waliofutur kwa hawara na mama yake halafu wakajianika mitandaoni watu wote wakajua? Labda mimi sijui aya tuambie wewe
Sasa wewe unawajua wote au umekariri tuu.Nikikuonesha picha huyu hapa utawafahamu au unalazimisha yule karusha jiwe kwenye giza kama wapo watajua na mungu wao.Ila wapo 100% wapooooooooooo
 
Mbona yeye anazini na msanii mwenzake Batuli watu hawamuhukumu ?? Binaadamu bwana Ya MUNGU muyaachage atawahukumu yeye mwenyewe !

Waislam si wanaruhusiwa wake wanne binamu, mwache ajilie mtunis kaoa yule
 
Sasa wewe unawajua wote au umekariri tuu.Nikikuonesha picha huyu hapa utawafahamu au unalazimisha yule karusha jiwe kwenye giza kama wapo watajua na mungu wao.Ila wapo 100% wapooooooooooo

Kama huelewi karibu tena siku nyingine
 
mmh yani ndomo angemchukua mtoto hamisa mobeto, mtoto mkaliii halafu mbichi , kwanza wameendana kishenzi kuliko hata huyo sugar mami wake mama ubaya yani hata hawaendani mfyuuuu, binamu ukimuona mama ubaya live utamkimbia ana komwe ka dafu la kimbiji sura imemshuka ka pumbu za muhogo mchungu

binamu mie nachukua cozi hapa............
 
Mbona yeye anazini na msanii mwenzake Batuli watu hawamuhukumu ?? Binaadamu bwana Ya MUNGU muyaachage atawahukumu yeye mwenyewe !

Ukifika mwezi mtukufu hua wanayaacha yale yote ni kufunga na kuswali tu, sasa wema na dai haiswihi swaumu yao wanajishindisha njaa tu
 
Mbona yeye anazini na msanii mwenzake Batuli watu hawamuhukumu ?? Binaadamu bwana Ya MUNGU muyaachage atawahukumu yeye mwenyewe !

Tatizo sio kuzini ,tatizo ni kitendo wanachokifanya tena hadharan wakat wanajua fika wenyew ni vioo vya jamii kama haitoshi wanajitangaza kabisa mitandaon kitu ambacho sio kizur kwa waislam tena mbaya zaidi kwa mwezi huu, kwani ndomo na mama ubaya ni mahawara tu
 
Diamond una mpango gani kuhusu Wema,kama ni mahusiano ni muda mrefu sasa bora mfunge ndoa,au ndio Kula uvungu na kusepa?
 
Back
Top Bottom