Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,166
- 13,514
Eggxactly!!! Si unajuwa watu wa Jf bhana!! mtu unakuta anapost kwa kutumia tecno s1 Ila anakwambia anapush discovery 4Unamaanisha bila picha, itakuwa ni [emoji116]?View attachment 1797098
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eggxactly!!! Si unajuwa watu wa Jf bhana!! mtu unakuta anapost kwa kutumia tecno s1 Ila anakwambia anapush discovery 4Unamaanisha bila picha, itakuwa ni [emoji116]?View attachment 1797098
Bina ile siipendi tenaBinamu rudisha ile avatar yako ileeee ilikupendezea mnoo
Itume pm Ila tu ufiche lisura lako..AF me sikai room moja kama bwana ako
[emoji23][emoji23][emoji23] ila bibi jaman khaaahMuna apungue kidogo amekua kipipa Ayubu
Ndio we si haukunialika sikuile kwenye bethdei...nialike next time nikuletee zawad ya macho matatuHa haahaa daah...bangi zako zimekutuma kwangu leo asee[emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Duuh makaburini tena, hao wana guts za ajabu 😒acha sisi tusubiri mume mwema kutoka kwa bwana dear😂Wangari Maathai , cocastic , financial services, Saint Anne na wengineo
Nani yupo tayari nasi tuunde crew ya kulala makaburini tuolewe na mamilionea[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Tuleteeni ubuyu wa Arusha wa Mheshimiwa na msiba
Yaani wewe kila mtu unamkosoa hivi unamali kiasi gani kwa maana kwa ulivyo labda unautajiri kuliko dangote unajuamini kupita hadi keroIla Muna ni mfupi jamani
Hadi Zari kamzidi urefu
Kabisa yaani binamu [emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Nini miaka 6, tatizo lije Dinazarde alale makaburini miez minne apate billionare , warumi mie kila siku usiku naoga njia panda na kupasua nazi naishia kutongozwa na waendesha boda pale element[emoji23][emoji23], lazima nimchenjie dinazrde kaniibia nyota yangu
Mi nasemaga raha ya kuroga karoge mwenyewe, haya mambo ya kuroga na my bff, Sijui nani siku mmoja akifanikiwa kuliko mwingine lazima siri zitoke nje
Kwani washagombana!???Hahahaha kama kili Janga na miriam odemba[emoji1784][emoji3062]! Wadada wa mujini mnakazi[emoji119]
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]dahh!India na South Korea...!!!KaMuna nakapenda kako so charming, chemistry yake na Lulu iliendana sana,
Katakua kameanza kumpeleka Zari kwa Waganga wa India maana wa Africa kote kamemaliza.
Juhudi za kujiuliza nina mali kiasi gani ziweke kwenye kutafuta mali zakoYaani wewe kila mtu unamkosoa hivi unamali kiasi gani kwa maana kwa ulivyo labda unautajiri kuliko dangote unajuamini kupita hadi kero
Unalala makaburini ubakwe na mizimu uje utazalie vampire lianze kutusumbua tusio na hatiaWangari Maathai , cocastic , financial services, Saint Anne na wengineo
Nani yupo tayari nasi tuunde crew ya kulala makaburini tuolewe na mamilionea[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Ila Kili Janga alilambaga bingo[emoji848]Kwani washagombana!???
Anajikandika ma makeup kibao usoni bana sijui anaficha nini[emoji848]zari minyoosho[emoji119] mwanamke mzuri huyu niliwahi bahatika kumuona live pale dar freemarket anaufupi wa wastani lakini ngozi mwororo lainiii kama ya evelyn mke wa prophet tb Joshua.