Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,864
Nyie mabint mjifunze kulea mimba hata kama ni kwa mazingira magumu kiasi gani.Huu ndio muonekano mpya wa mama mzazi wa super star diamond platnums, aiseeh ni shigidaaaa, hii inaitwa kupendeza kwa mwendo kasi, hapa hata ukimuweka mama chibu na zari bado zari ataonekana mzee, ukimuweka na wema ndio kabisa wema ataonekana bibi wa miaka 60[emoji16][emoji16][emoji16]
Dead [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera. Naona unatumia WiFi na upo kwenye mtandao wa Badoo.
Hongera. Naona unatumia WiFi na upo kwenye mtandao wa Badoo.
Alaumiwe Ray Kigosi.Anaitesa kweli ngozi yake
Mkuu naona umefurahia Sana comment yangu. Au wewe hujaobserve kwamba anatumia WiFi? Hujaona pia icon ya Badoo kwa juu hapo?Hahahaha
Haya sasa Mario mpooooo!!!!
Kila mtu anapalilia kitengo
Kwenye picha naona pale kwenye notification bar kuna herufi "b" ina kidoti katikati, kumbe na ww ni mdau!
Binadamu huko badoo vepe unatafuta mke au, uzalendo kwanza jf love connect ipo ha ha ha haYes, I'm using Wi-Fi, I don't do bundles nowadays, ukiwa mbea lazima uwe na vitendea kazi,aaah lol
Mkuu naona umefurahia Sana comment yangu. Au wewe hujaobserve kwamba anatumia WiFi? Hujaona pia icon ya Badoo kwa juu hapo?