Picha: Muonekano mpya wa Mama Diamond, ni shigidaa

Picha: Muonekano mpya wa Mama Diamond, ni shigidaa

Mwenzangu na nasikia mbeya juzi walikua wote, na nimeona juzi kamwish mama mond happy birthday ,ngoja tusubir huu mchezo binamu utakavyokua
yaaani!!hao team zari walivyocharuka sasaa!!naona wamepagawa balaa!!
 
Huu ndio muonekano mpya wa mama mzazi wa super star diamond platnums, aiseeh ni shigidaaaa, hii inaitwa kupendeza kwa mwendo kasi, hapa hata ukimuweka mama chibu na zari bado zari ataonekana mzee, ukimuweka na wema ndio kabisa wema ataonekana bibi wa miaka 60[emoji16][emoji16][emoji16]
13692e768c19f5bcd4e1ab62a37b8c8b.jpg
warumi ujaleta umbea za tetes kuwa simba anatoka na hamisa alafu mama alimlisha zar keki na mkono wa kushoto wengine amewalisha mkono kulia embu jazia nyama huo umbea maana lei ista imechafuka esma dada wa dai anadaiwa ndo kuad kamuonganishia hamisa kwa mond
 
nipeni number za mama yake dangote ili niwe baba yake wa kambo .....wakuu
 
Uwa nasikia anapenda sana dogodogo na alivyo noga kama vile wa below 18 ukigusa tu serikali inakupiga mvua ya 30 na mil 15,000,000/= cash .maana atakuwa naye anasoma.
 
Back
Top Bottom