kibao cha mbuzi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 507
- 491
Kesha zeeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari mmoja keshapanicHa ha ha nipo nacheki vita ya watu wasio na jinsia sina mbavu mie!!!!!
Mnataka kujua jinsia yake ili iweje ha ha ha ye mbona haulizi jinsia zenuKwani kuna ubaya gani watu wakajua jinsia...aua Mkuu unaogopa mitongozo
Ili kama ni Ke,tujazane PM[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnataka kujua jinsia yake ili iweje ha ha ha ye mbona haulizi jinsia zenu
Yani ulikuwa unaota au!....siku nampitia huyi mtoto,,,nilijihisi kama mimi bonge moja la underground star, ila wadau mtoto ni mtamu bana, anatemperature moja hivi khaaaa......bahati mbaya niliishia kwa goli mbili nikawa hoi bin taaban!
Ndio hivo kama sio ke ni me kazi kwenu ha haIli kama ni Ke,tujazane PM[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Miguu inamuangusha huyu dada yangu wemaHuenda ana vimiguu vya kichagga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio hivo kama sio ke ni me kazi kwenu ha ha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akisahau kujiedit mbona utamsahau, michirizi duh waweza hisi pundamilia sorry warumi....
Ndio nimeeditSio bure ila Utakuwa umeedit macho yako.
Kuolewa ni rizikiMwanamke bila akili kichwani ni kazi bure,ni ujinga ulopitiliza kwa maisha haya ya Baba Jesca mwanamke kujisifia uzuri badala ya Kazi na ujasiriamali...
Angekuwa mzuri kama anavyoonekana nje basi angeolewa kama mamiss wenzie,lakini hata uwe mzuri vipi kama huna akili ni kazi bure!!!