Hahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23]Aliumbwa siku tulivu huyu...Mungu hakuwa na mambo mengi kabisa
Alafu bado kuna ile ya Gaidi la kimataifa...mbona huu mwaka raha kwa kweli ni vicheko tu kila mahali wacha mama aupige mwingi.Nawakumbusha tu ,Kesi ya leo ni ya Ujambazi wa kutumia Silaha bado kesi nyingine inakuja tarehe 18 Oct ya Uhujumu uchumi na Utakatishaji Fedha.
tulia ww yna2. nayo ni pisi moja sio ya mchezo mchezo tatizo kuimiliki inaleta shida kidgUkijilinganisha nae unajiona utopolo sio..?
Mungu anaumbua watu taratibu,sasa mtu anamiliki pisi kali kama hii utafikili kaiagiza online kutokea kwa Sir God alafu eti mnasema alikuwa sijui kambaka kingono taka taka yenu ile nandy imekulia kwa maji ya chooni.
Bado MapemaπππEmbu jaribu bahati yako usikate tamaa bwana
Unafanana nayoPisi ya maana
Kumbe na wee ume muona eeh unaweza uza nyumba japo upate one nyt na mremboPisi ya maana
Daaah, washkaji mna uchu nyie..Jigijigi
Huyu mmeru watu wanamiliki kitambo
Eeh!! Bak..atiii!!unyagoni??ππEti ni kweli ulikuwa unyagoni!? πππ