PICHA: Mwanadada ambae Sabaya alimchumbia

Kuliko kuikosa hii pisi alivyopata nafas ya kujitetea angeomba tu aanyongwe
 
Pisi imeniacha hoi aisee msema kweli mpenzi wa Mungu. Pisi kali kama hiyo ukitoka kazini au kwenye biashara unakimbilia nyumbani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wahuni wa mjini utawasikia yule BAK siku hizi hata kwenye vilinge haji tena yuko busy na mkeweπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mhuni mwingine ataitikia ohooooo! Kisha lishwa LIMBWATA yule 🀣🀣🀣🀣🀣

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Najua bana..pisi umeiona lakini?
 
Makonda kafanya maovu makubwa zaidi ya sabaya kumuacha huru ni kumkosea Mwenyezi Mungu kabisa.
Kwanza inatakiwa ashitakiwe kwa kutumia jina la udanganyifu kujipatia ajira.
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Naam Mkuu pisi kali kama hii usiipe upenyo hata chembe vinginevyo wahuni watakurudi na pigo zao za kihuni. Maana wahuni wote wakishaona pisi kali kama hii udenda unawachuruzika 🀣🀣🀣🀣
Ila Pisi Kali kama hizi nyingi sana huwa zinatema 'Mbunye' mno na sijui huwa ni kwanini.
 
kudadeki wanawake mnaojionaga ninyi ni wazuri piteni huku muone wazuri toto lina shepu nzr, dimpoz nzr, sura nzr, amepanda hewani, figa kama la kinyarwanda. Huyu halazi siku anaolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…