Picha: Mwili wa Papa Benedict XVI umewekwa ndani ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Vatican

Picha: Mwili wa Papa Benedict XVI umewekwa ndani ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Vatican

Wao ndio the source Sema wagiriki walivamia hapo wakaangusha tawala zao. Then wakaja Roman wakabeba kila kitu tamaduni, Imani, elimu etc then wakaja ARABS wakafuta kabisa kizazi kilichobaki. The remaining wako upper Egypt na wengine walikimbilia Sudan.
Ukipata nafasi katembelee Egypt utapata madini mengi sana pale.
Basi kumbe japo yalikuwa yamepiga hatua lakini yalikuwa majinga kiwango cha lami! Una Elimu kuliko wote, una imani, una tech na etc then anakuja kwako mmatumbi kutoka huko Saudi/Yemeni anavaa magome ya miti anakutawala na kukufyekelea mbali? Nimewadharau wamisiri wa mchongo
 
ila wasabato sijui kwanini hamkosi cha kukosoa kuhusu ukatoliki na mambo yake. halafu wenyewe ukatoliki wala hauna time na nyinyi.
Hamna kitu mbaya kama kukariri, msabato anasoma biblia gani kama sio hiyo hiyo ya mkatoliki? Wote ni wale wale wanaoamini mafundisho ya kuwa Yesu ni mwana wa Mungu ila wao sio, eti Mungu ni wa Israel, cha ajabu wanakula Tanzania, wanalala Tanzania…. Imani za kitumwa…. Black man nikachukue nini kwa Ellen White? Sipo huko…usinifananishe na mazombi
 
Nina ujumbe mzito kuhusu kofia za mapapa na maaskofu.... napenda kutopigwa ban humu hivyo mdomo koma.

Someni sana kitabu cha Ufunuo
Hahahaha msabatooo!!

Umesahau kusema na kitabu Cha Danieli kuhusu pembe ndogo na pia Cha mungu wenu Hellen Gould white

Hahahaha
 
sisi tunajua rangi kuu, huo ujanja ujanja wa kiingereza kuita majina mengi tofauti wakati kimsingi unachoona ni kilekile nyekundu ubaki hukohuko uinglishini.
Hapa kwenye Kukopi Misri ni hisia zako tu.
Dagon fish worshippers…. Mtaabudu mpaka mashetani bila kujua… dini ya kweli ni kuotesha na kutunza miti. Chanzo cha uhai.
 
Apumzike kwa amani
230105143517-01-pope-benedict-grotto-010523.jpg
Screenshot_20230106-141133.jpg
 
Uhuru wa kuabudu, endelea na miti yako
Naiotesha kama yote maana hiyo ndio chanzo za pumzi, maji, chakula, kivuli, mpaka hilo sanduku la huyo mtakatifu wenu… mje mkate mtengeneze karatasi muweke maandishi yenu mseme ni maandishi ya Mungu, hamna tofauti na hekaya za ngosha Shigongo.

Mungu hashiki peni kuunda herufi, anaumba visivyo umbika… na akili zako zote za kurusha (sijui kwa nini waswahili tunaita ndege - bird. Lugha bado inapwaya hii) airplane… hakuna awezaye kutengeneza ndege akaruka… masomo yenu yanagonga ukuta….
 
Naiotesha kama yote maana hiyo ndio chanzo za pumzi, maji, chakula, kivuli, mpaka hilo sanduku la huyo mtakatifu wenu… mje mkate mtengeneze karatasi muweke maandishi yenu mseme ni maandishi ya Mungu, hamna tofauti na hekaya za ngosha Shigongo.

Mungu hashiki peni kuunda herufi, anaumba visivyo umbika… na akili zako zote za kurusha (sijui kwa nini waswahili tunaita ndege - bird. Lugha bado inapwaya hii) airplane… hakuna awezaye kutengeneza ndege akaruka… masomo yenu yanagonga ukuta….
Kwanini usiabudu sasa jua lililo mungu wa hiyo miti yako? Bila jua mti haupati chakula na unakufa...
 
Hahahaha msabatooo!!

Umesahau kusema na kitabu Cha Danieli kuhusu pembe ndogo na pia Cha mungu wenu Hellen Gould white

Hahahaha
Hahahah
Wasabato bado hawwjitambui
 
Naiotesha kama yote maana hiyo ndio chanzo za pumzi, maji, chakula, kivuli, mpaka hilo sanduku la huyo mtakatifu wenu… mje mkate mtengeneze karatasi muweke maandishi yenu mseme ni maandishi ya Mungu, hamna tofauti na hekaya za ngosha Shigongo.

Mungu hashiki peni kuunda herufi, anaumba visivyo umbika… na akili zako zote za kurusha (sijui kwa nini waswahili tunaita ndege - bird. Lugha bado inapwaya hii) airplane… hakuna awezaye kutengeneza ndege akaruka… masomo yenu yanagonga ukuta….
Wewe utakuwa yule kiongozi wa Wasabato masalia.
 
Mapapa hawaozi kutokana na namna miili inavyozikwa. Huzikwa ndani ya sanduku la Zink cast hivyo huwa haipitishi hewa hivyo mwili hauwezi kuoza na mara nyingine hata rangi ya ngozi haibadiliki kwa miaka mingi
Kufa ni kufa tu
 
Nina ujumbe mzito kuhusu kofia za mapapa na maaskofu.... napenda kutopigwa ban humu hivyo mdomo koma.

Someni sana kitabu cha Ufunuo
Tafsiri batili kutoka kwa vibwengo wa kahaba hellen g white.
 
Back
Top Bottom