Picha: Mwili wa Papa Benedict XVI umewekwa ndani ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Vatican

Picha: Mwili wa Papa Benedict XVI umewekwa ndani ya Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro, Vatican

Ndio kusema ibada zenu zinatumia rugha 1? Mfano kagara wanatumia kihaya wewe makonde utafanyaje?
Kuna kitu kinaitwa Kanuni ya Misa kama unaijua utaweza kushiriki bila hata kujua lugha inayotumika
 
Tafsiri batili kutoka kwa vibwengo wa kahaba hellen g white.
Sijamsoma
Siongozwi na hizo tafsiri zinazowaongoza ninyi.

Roho Mtakatifu ananifunulia yale anayotaka niyafahamu. Kama unatafuta wa kimlaumu hakika Mlaumu MUNGU anayenipa ufahamu
 
Wakiongozwa na wale Wasabato masalia waliopiga Kambi JKN wakisubiri ndege iwapeleke kuhubiri Ulaya.
Wanata taabu sana wale.

Yesu aliivunja Sabato, wao wanampinga
 
Aozi huyo miaka,kazikwa kwenye kaburi la kioo ni kufunua pazia tu unamuona
 
Basi kumbe japo yalikuwa yamepiga hatua lakini yalikuwa majinga kiwango cha lami! Una Elimu kuliko wote, una imani, una tech na etc then anakuja kwako mmatumbi kutoka huko Saudi/Yemeni anavaa magome ya miti anakutawala na kukufyekelea mbali? Nimewadharau wamisiri wa mchongo
Namna hivyo WA dharau Dunia nzima. Waulize why now marekani iko juu Yao wakati zamani Roma, Greece, British walikuwa majabali WA kutisha but now wanamuogopa marekani. Tawala zinakuja zinaondoka. Ussr lilikuwa jini. Germany lilikuwa jini. But now si kihivyo. Egypt kuanguka its more biblical.....
 
Back
Top Bottom