Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Matukio mbalimbali katika picha wakati Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Methusela Ntonda alipokwenda kukagua maendeleo ya mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu wa Arusha, wakati wa kikao kazi cha mwezi cha maendeleo ya mradi huo.
Ntonda alikuwa ameambatana na baadhi ya viongozi wa wizara hiyo.
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya 2027, ambayo pia inajulikana kama AFCON 2027 au CAN 2027, imeratibiwa kuwa toleo la 36 la mashindano ya kandanda ya Afrika yanayoandaliwa kila baada ya miaka miwili na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). Michuano hiyo mikubwa itaandaliwa na Uganda, Kenya, na Tanzania, Juni na Julai 2027.
Ntonda alikuwa ameambatana na baadhi ya viongozi wa wizara hiyo.
Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya 2027, ambayo pia inajulikana kama AFCON 2027 au CAN 2027, imeratibiwa kuwa toleo la 36 la mashindano ya kandanda ya Afrika yanayoandaliwa kila baada ya miaka miwili na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). Michuano hiyo mikubwa itaandaliwa na Uganda, Kenya, na Tanzania, Juni na Julai 2027.