Muigai Jr
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 1,762
- 3,362
Hiyo ni ndoto ya mda mrefu. Ni ngumu sana kuwezekana na serkali ya kifisadi ya Kenya.Huko pia wanaletewa maendeleo. Wanawekewa maji safi, choo nzuri na barabara inapanuliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni ndoto ya mda mrefu. Ni ngumu sana kuwezekana na serkali ya kifisadi ya Kenya.Huko pia wanaletewa maendeleo. Wanawekewa maji safi, choo nzuri na barabara inapanuliwa.
Mwanajeshi ndiye anayefanya haya maendeleo. Hao wamefanyiwa drills hadi wamekuwa kama robot. Wakipewa order wanatekeleza bila maswali. Hakuna cha rushwa wala nini. Hio ndio uzuri wa wananeshi, yaani discipline mwanzo hadi mwisho. Akina Gavana sonko wametupwa kwenye dampo, wakae kando watazame jinsi kazi inavyofanywa kijeshi.Hiyo ni ndoto ya mda mrefu..ni ngumu sana kuwezekana na serkali ya kifisadi ya Kunya/Kenya.
Sawa malizeni kazi ndo mje kushindana na Dar.Mwanajeshi ndiye anayefanya haya maendeleo. Hao wamefanyiwa drills hadi wamekuwa kama robot. Wakipewa order wanatekeleza bila maswali. Hakuna cha rushwa wala nini. Hio ndio uzuri wa wananeshi, yaani discipline mwanzo hadi mwisho. Akina Gavana sonko wametupwa kwenye dampo, wakae kando watazame jinsi kazi inavyofanywa kijeshi.
Mikoa ya Tanzania ipi !!
Labda hujui Tanzania na Hujui lipi unaongelea
Tanzania ilisha kuwa mpya Acha kuota
Mbona wewe kila posts zako unatia neno waswahili ndani? Unazengua mwanangu.hongera zetu mazeee dah..utadhani ni kuleee prague kwa mabeberuu!!
hongera pia kwa mzee kenyatta kwa kuwadhibiti waswahili kuleee mipakani maaana dah sipati picha kungekuwa vpeeee![emoji23]
Huko pia wanaletewa maendeleo. Wanawekewa maji safi, choo nzuri na barabara inapanuliwa.
Aaah! Kumbe unashuku omba omba wenu wako Kenya 😉Hongereni sana kwa kuanza kuwa wasafi, ila naona uko desperate sana na Wabongo, maana hata kwenye vitu ambavyo haviwahusu lazima uwataje...
Unaweka picha sio kupayukaKwa hiyo ndio saiv nairobi imepata pavements kwenye njia za waenda kwa miguu!? Duh ml;ichelewa wapi bandugu?
Unaweka picha sio kupayuka
CBD yenu kwa zile nyumba 3 Yani hapo ndio Dar es Slum
View attachment 1497471View attachment 1497472
Haha! Naona wenye majungu wote wamekimbilia ku-like comment yako...Askofu mwenye majungu
Huna sera, bora ungekaa kimya. Haha!...Aaah! Kumbe unashuku omba omba wenu wako Kenya [emoji6]
Hizi pavement block ndio mara yakwanza kuwekwa hapo Nairobi?
Hata mimi nimeshangaa [emoji23]majirani wanavitukoDuh vitu tulizofanya 2007,wakenya wanafanya leo..[emoji23][emoji1787]