Picha: Nairobi panazidi kunoga, tukuone ukitupa taka na kutuchafulia mji

Picha: Nairobi panazidi kunoga, tukuone ukitupa taka na kutuchafulia mji

Hujafika mombasa ww...
Unasema hii ama?
DnMnhD4XoAE3b9L.jpg
EJ9Ms35XkAEM6Ok.jpg
IMG_20190910_140121.jpg
 
Nilitaka nishangae hii post isiwe na chokochoko kwa Watanzania. Yani hawa jamaa sijui wakilalala wanatuota? [emoji23][emoji23]
 
Hata mimi nimeshangaa [emoji23]majirani wanavituko
my friend wewe ndio uko na vituko..is this the city of dar that una praise..nairobi is better than dar es salaam kindly go through this videos of dar ,,tushajua na hizo vijumba vyenu za kiswahili..hamna tofauti na watu wa mombasa even when it come to housing hamna tofauti
 
1593894240157.jpeg

Mwambie Freedom asisahau na kibera kabla za covid hazijaisha
1593894240157.jpeg
 
Mwanajeshi ndiye anayefanya haya maendeleo. Hao wamefanyiwa drills hadi wamekuwa kama robot. Wakipewa order wanatekeleza bila maswali. Hakuna cha rushwa wala nini. Hio ndio uzuri wa wananeshi, yaani discipline mwanzo hadi mwisho. Akina Gavana sonko wametupwa kwenye dampo, wakae kando watazame jinsi kazi inavyofanywa kijeshi.
Hapo ndio ujue kwanini JPM hupenda kuweka wanajeshi kwenye maeneo nyeti...
 
Mana majivuno sana lakini mna dhiki sana,tukiwafungia mipaka full kulialia tu,cgezea njaaa,asisi huku Tanzania hata tukijifungia tunachakula cha kutosha sana
 
Kamji kadogo kama pilitoni lakini kamewashinda kukaweka safi
Yaani vitu vidogo kama hivyo mnashangiria hahaha
Wanako ishi Wakenya Halisi sasa wamegeuzwa Mbuga za Kitalii
Wazungu wanakuja kushangaa!!
Kale kanairobi kadogo yaani sijui kakoje,planning ilikuwa mbaya yaani
 
Back
Top Bottom