Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,073
- 1,556
Haha! Wenye majungu ni wewe na wenzako ambao mnaacha hoja ya msingi na kurukia mambo yasiyowahusu. Shame on you! BTW, hiyo Loftins ni aina ya mkate?Wanashangaa Askofu gani huyu ana majungu au wa makanisa ya ufufuo.
🤣 🤣 Kondoo wangu ni ninyi, nawachunga humu JamiiForums.Loftins ni magongwe ya America!
alafu askofu punguza majungu kachunge kondoo wako
Lazima Muone Ju ni Jamii Forums.Kwann Kenya huwa mnapenda sana kuilink Tz kwenye maendeleo yenu?
Kenya ni kama mtoto mzuriiii mwenye kipato na ajira nzuri anayempenda mnyamwezi Tanzania, Jabali lenye kipato cha chini kidogo ila mnyamwezi hasa. sasa Kenya hawezi kufanya kitu bila kujipitisha kwa Tanzania na kuonyesha, ilimradi tu amtaje taje, Tz amuone amsemeshe.
Tulieni, si mnajua wakija nzige tu macho yote ni Tz?Lazima Muone Ju ni Jamii Forums.
Nairobi inameza dar zaidi ya mara nne hiviKale kanairobi kadogo yaani sijui kakoje,planning ilikuwa mbaya yaani
askofu na kondoo wakee!😂Loftins ni magongwe ya America!
alafu askofu punguza majungu kachunge kondoo wako
Hamna kitu hapo, ni less than a half kilomiter, haina tija kijisifu hii. I have been at the place sio kwa kuangalia kwa clip.Mikoa ya Tanzania ipi !!
Labda hujui Tanzania na Hujui lipi unaongelea
Tanzania ilisha kuwa mpya Acha kuota
Dar ndogo sanaNairobi inameza dar zaidi ya mara nne hiviView attachment 1498070
[emoji38][emoji38][emoji38] Hahaa! Loftins Family Bread, 'Usiseme mkate, sema Loftins!'Haha! Wenye majungu ni wewe na wenzako ambao mnaacha hoja ya msingi na kurukia mambo yasiyowahusu. Shame on you! BTW, hiyo Loftins ni aina ya mkate?
Leta nairobi kwa scale hii hii, kama kuna kitu utona zaidi ya UAP tower[emoji23][emoji3][emoji23].Nairobi inameza dar zaidi ya mara nne hiviView attachment 1498070
Haha! Unahitaji kupimwa, siyo mzima wewe🤣🤣askofu na kondoo wakee!😂
View attachment 1498073
Unachoma [emoji23][emoji23][emoji23]leta nairobi kwa scale hii hii,kama kuna kitu utona zaidi ya UAP tower[emoji23][emoji3][emoji23].
Halafu unaezatadhani hapo ni githuraiDar ndogo sana
Picha kama hii kwetu inaezakua githurai, umoja na akina ruaka.leta nairobi kwa scale hii hii,kama kuna kitu utona zaidi ya UAP tower[emoji23][emoji3][emoji23].
nikupe picha kama hii nairobi uone inapitia mpaka mbuga ya wanyama kule nje ya mji[emoji16][emoji16][emoji16].Picha kama hii kwetu inaezakua githurai,umoja na akina ruaka
Bana nyuma ya hizi 3 towers panakaa KangemiHalafu unaezatadhani hapo ni githurai
Askali anaye pandishwa cheo wakati wa vita ni tofauti na yule aliye pata vyeo kabla ya vita ,tz tumeingia uchumi wa kati wakati wa vita ya covid ilitegemewa wakati wa covid uchumi wa nchi kuporomoka kama Kenya mnaelekea kuanguka kutoka MICHii inaitwa jeuri ya kuwa middle-class, kwa sasa hamuwezi kuijua maana ndio mumekaribishwa kwenye kundi la wanaume kamili japo mahesabu yenu yapo kwenye mpakani, hayajakaa sawa ili muheshimike.
Si huaga tunawaambia hapa, ukitoka city center kwngine kote ni uswazi kurukaI guess ni hii ndio wanamaanisha
Usiumie sana ndugu. This is Mombasa.Tuonyeshe na zile dampo zilizozagaa kila mahala basi