This is so so so beautiful 400km away from Nairobi.Kisumu will soon challenge Kigali. Notice the upcoming towers? View attachment 1497971View attachment 1497972View attachment 1497973View attachment 1497974View attachment 1497975View attachment 1497976View attachment 1497977View attachment 1497978View attachment 1497979View attachment 1497981
Umeongea ukweli mtupu. Ukifika Nairobi katikati ya mji ukaona palivyo, halafu ukitoka nje kidogo kwenye mitaa yao ya 'mabanda', dah! hali ni taabani hutaamini kama bado uko Nairobi.Kamji kadogo kama pilitoni lakini kamewashinda kukaweka safi. Yaani vitu vidogo kama hivyo mnashangiria hahaha
Wanako ishi Wakenya Halisi sasa wamegeuzwa Mbuga za Kitalii. Wazungu wanakuja kushangaa!!
Si huaga tunawaambia hapa, ukitoka city center kwngine kote ni uswazi kuruka
Wewe hujawahi toka Nje ya Tanzagiza.Umeongea ukweli mtupu..ukifika Nairobi katikati ya mji ukaona palivyo, halafu ukitoka nje kidogo kwenye mitaa yao ya 'mabanda' dah..! hali ni taabani hutaamini kama bado uko Nairobi.
Mimi sio mzungu ila nilishangaa sana. Hakika ni mabanda maana huwezi amini kama binadamu anaweza kuishi huko.
hata nguruwe hupenda usafi lakini sio asili yake.Lakini majirani mmezidi kwa ushamba kha! Mnakwama wapi?
Hizi rangi black white yellow kama kituo cha polisi au magereza duh! Mji wenu una sura nzito. Hongereni kwa kugundua umuhimu wa usafi sasa
Acha uwongo. Hii ni moja ya video ya mitaa ya nairobi ambayo iko nje ya cbd. Watch it carefully and learn from itUmeongea ukweli mtupu..ukifika Nairobi katikati ya mji ukaona palivyo, halafu ukitoka nje kidogo kwenye mitaa yao ya 'mabanda' dah..! hali ni taabani hutaamini kama bado uko Nairobi.
Mimi sio mzungu ila nilishangaa sana. Hakika ni mabanda maana huwezi amini kama binadamu anaweza kuishi huko.
Hyo sehemu usiku panawaka poa, kwanza hapo nyuma kw ile roundabout kuna vile wamepasuka kuko poa sanaUsiumie sana ndugu. This is Mombasa.
View attachment 1498241View attachment 1498244View attachment 1498245
Kisumu is also tryingKisumu will soon challenge Kigali. Notice the upcoming towers? View attachment 1497971View attachment 1497972View attachment 1497973View attachment 1497974View attachment 1497975View attachment 1497976View attachment 1497977View attachment 1497978View attachment 1497979View attachment 1497981
Tuchukulie ni sawa sijawahi kutoka nje ya Tz, ila issue hapa ni nyie kulala kwenye mabanda ya mabati kama kuku katika jiji kubwa kama Nairobi inatia aibu kabisa.Wewe hujawahi toka Nje ya Tanzagiza.
Lete na picha ya mabanda Kibera!Halafu omba omba wale wa kutoka kwa nchi jirani hivi wamepelekwa wapi maana sidhani kwa hali kama hii watapata nafasi.
As the Nairobi Metropolitan Services (NMS) under Director-General Mohamed Badi embarked to rehabilitate Nairobi streets, certain improvements are visible in the Central Business District (CBD).
In its 100-day plan, the focus was on a number of roads in the CBD refurbished to be more inclusive of cyclists and pedestrians.
A few examples include Kenyatta Avenue and Wabera Street which have seen the parking spots converted to bicycle lanes and pedestrian walkways.
New Look of Refurbished Nairobi Streets by NMS [PHOTOS]
Hebu niwekee na ya Kibera slum. Au Kibera haiko Nairobi😅acha uwongo ..hii ni moja ya video ya mitaa ya nairobi ambayo iko nje ya cbd ..watch it carefully and learn from it
Lete na picha ya mabanda Kibera!
Nakuru imezidi Dar kwa barabaraHebu niwekee na ya Kibera slum.
Au Kibera haiko Nairobi😅
Ugua pole pole ndugu[emoji23][emoji23][emoji23]kibera tutaleta wakati wa mapambano na Dar yote.Hebu niwekee na ya Kibera slum.
Au Kibera haiko Nairobi[emoji28]
Naona mmekimbia dar vs Nairobi [emoji23][emoji23]sasa mmekuja huku kujifariji na hiyo picha mbovu ya sijui flyover ama ni takataka gani.Nakuru imezidi Dar kwa barabara
View attachment 1498522
Wivu ndio inakuleta Kenyan news and politics yani Hadi unaamka usiku wa manane kujibishana na Wakenya 🤔. Any flyover nje ya Dar?Naona mmekimbia dar vs Nairobi [emoji23][emoji23]sasa mmekuja huku kujifariji na hiyo picha mbovu ya sijui flyover ama ni takataka gani
Nimeona na injinia Levi katia like baada ya kupendezwa na hiyo flyover feki iliyo pinda pinda ,hivi wakenya mnayo macho kweli
Usiku wa manane! Kwani sisi tupo lockdown, wenzako tunapiga kazi usiku na mchana.Wivu ndio inakuleta Kenyan news and politics yani Hadi unaamka usiku wa manane kujibishana na Wakenya [emoji848]. Any flyover nje ya Dar?
Any flyover nje ya Dark est Sluum?Usiku wa manane! Kwani sisi tupo lockdown, wenzako tunapiga kazi usiku na mchana.