Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
- Thread starter
- #21
Si hizi ndio nguo anazaaga sasa za kiraia vipi kwani lini alikuwa na gwanda?
Tangu lini mwanasiasa wa Tanzania anaenda kukutana na wananchi anavaa mkofia wa kushona kwa mkono na track suits za mazoezi?
Yaani Nape ni wa kukutana na wananchi na ma Tshirt ya Foma Gold?