Itabidi siku nkija lindi nkucheki mzee kimya kimyaPicha Sina mkuu kwenye hii simu ila ni mkoa wa lindi kama unavyojua bado haujajengeka mapori ni mengi so na mimi sijui nilipapendea nini kwenye ile hill iko above m 500 na upande wa mashariki unajioneA Bahar Kuu ambayo ukiwa Lindi town huion zaidi ya mkondo wa bahari picha nitajitahid nikutafutie.
Kuna baridi kali sana kuanzia Desemba hadi Machi. Utatamani kurudi kwetu ambako nako ni kuzuri mno kama Lushoto, Muheza (hususan Amani na Magoroto) na MwakaleliPicha no tofauti na uhalisia, Hapo utakuta kuna mbu wengi sana, vijidudu vya magonjwa au hali ya hewa wa kutosha!
Kama utanikuta maana kuna mchakato nafanya wa transfer ambao uko tayari Kwa zaidi ya 80% so at anytime t tunaweza kuwa tunaonana bambalagar au chako ni chako.Itabidi siku nkija lindi nkucheki mzee kimya kimya
Ova
Turkey, indonesia(BALI) na Thailand?Wakuu. Hakuna sehemu kama uswizi, hiyo nchi nzuri sana labda Norway inaweza ifikia ila sio Tz
Palivyopauka sasa π π€£Yani hapo bila hata kuambiwa ni bongoπ cheki milima hiyo jangwa tupu
Dogo naona unaelezea experience yako katika harakati za kupiga boksi.Pia Countryside na rural Norway, Scotland na Ireland ni breathtaking.
Fjords za Norway ni marvelous.
Highlands na castle za Scotland ni jaw dropping
Na green plains za Ireland ni awesome.
Mbona hata Iringa, Chunya na Ludewa kuna mandhari hii hii nini kimewashinda CCM kuiboresha?Kuishi sehemu kama hii lazima utakuwa vizuri kichwani na afya ya mwili pia. Hapo kuishi miaka 120 kawaida tu.
Switzerland [emoji1237] View attachment 2951903
Swaziland ya nyoko!Swaziland wanamazungira mengi mazuri nahisi kuzidi nchi zote ulaya.
[emoji1787][emoji23][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uongo
Swaziland tena? Hii nchi aisee ina vilaza ππππππSwaziland wanamazungira mengi mazuri nahisi kuzidi nchi zote ulaya.
[emoji23][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Swaziland tena? Hii nchi aisee ina vilaza [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
NItashukuru sana Mkuu.Picha Sina mkuu kwenye hii simu ila ni mkoa wa lindi kama unavyojua bado haujajengeka mapori ni mengi so na mimi sijui nilipapendea nini kwenye ile hill iko above m 500 na upande wa mashariki unajioneA Bahar Kuu ambayo ukiwa Lindi town huion zaidi ya mkondo wa bahari picha nitajitahid nikutafutie.