Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakuambia kuolewa ni jambo baya?Mwanaume punguza kujipostpost utaolewa shauriyako
Sawa ChawaSawa sawa
Kwa hio mwanaume unataka kuolewa km dada yako au sio?Nani kakuambia kuolewa ni jambo baya?
Nani kakuambia kuolewa kama dada yangu ni vibaya?Kwa hio mwanaume unataka kuolewa km dada yako au sio?
Unataka kuolewa mwanaume? Sema km unataka kucheza na koki za wanaume, anajipost kila dakika unataka kuolewa?Nani kakuambia kuolewa kama dada yangu ni vibaya?
Ndiyo, wewe unasemaje?Unataka kuolewa mwanaume? Sema km unataka kucheza na koki za wanaume, anajipost kila dakika unataka kuolewa?
Humu unahisi nani anafaa kukuoa wewe?Ndiyo, wewe unasemaje?
Wewe.Humu unahisi nani anafaa kukuoa wewe?
Unataka mimi nikuoe wewe au sio?Wewe.
Ndiyo mkuu, unioe.Unataka mimi nikuoe wewe au sio?
Yaan wewe unataka nikuoe mimi?Ndiyo mkuu, unioe.
Joanah mwenzenu nimepata mume, mnaoendelea kutafuta waume msikate tamaa, kumbe inawezekana.
WataolewaTupunguze kasi ya kupangiana mambo.
Acha wajipost tu.
Punguza kujipost wutakufanyia kitchen party yakoAs long as haikuathiri acha kuipa nafasi kwenye kichwa chako hadi kuandikia uzi, hakuna formula ya kuishi hapa duniani hivyo standards zako usizifanye ndio formula za kuishi watu wengine
Unaroga kwa bei ganiMimi kila nikikaa kilingeni naenda live imensaidia kuniongezea wateja hususani kipindi hiki cha karibu na uchapuzi
Ronaldo na Messi wameolewa na nani??Wataolewa