Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Mafuta ya v8 lake Toka Dom yanajenga madaraka kumi kama hayo
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Nimecheka tu
 
Darala la zege hilo
Daraja la gharama kubwa hilo, taxama mawe yaliojazwa kwenye kingo na lenyewe la kiwango cha zege.

Hapo hata semitrailer iliyoshiba mzigo inakatiza.
Da Faiza mbinguni huendi 🤣🤣🤣🤣🙌🏻
 
Hiyo profile yako remmy ongala inanikumbusha wimbo wake

"Wema wema k-nyoko🥶🏃‍♂️"
Kila siku kabla ya kulala nyosha mikono juu sema "nchi ya kipumbavu sana hii" mara tatu.
 
Darala la zege hilo
Daraja ✔️

Darala ✖️

Hivi huko Canada ulienda kusomea ujinga?
Daraja la gharama kubwa hilo, taxama mawe yaliojazwa kwenye kingo na lenyewe la kiwango cha zege.
Unaweza kutupa BOQ yake ?
Hapo hata semitrailer iliyoshiba mzigo inakatiza.
Semi -trailer ✔️

Semitrailer✖️

Hiyo semi- trailer labda ya kuchora ndio itapita hapo.

Huoni hata aliyeenda kuzindua hajathubutu kupita hapo na gari yake?
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Screenshot_2025-02-12-15-29-22-1.png
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Hapo wamezingua yani hata usafi wameshindwa kufanya, Sina hakika kama alifanya ziara tu kwenye hilo daraja MH, alikuwa na mambo yake akapitia tu hapo maana Hilo halina hata hadhi ya kuzinguliwa na diwani wa viti maalumu hapo wangetafuta katibu tawi wa CCM alizindue tu
 
Dah! Hii nchi vichekesho ni vingi sana
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
 
Back
Top Bottom