Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mafuta ya v8 lake Toka Dom yanajenga madaraka kumi kama hayoWakuu,
Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?
Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?
Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.
Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?
========================================================
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.
Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.
Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.
Source: EFM Tanzania
Nimecheka tuWakuu,
Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?
Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?
Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.
Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?
========================================================
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.
Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.
Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.
Source: EFM Tanzania
Da Faiza mbinguni huendi 🤣🤣🤣🤣🙌🏻Darala la zege hilo
Daraja la gharama kubwa hilo, taxama mawe yaliojazwa kwenye kingo na lenyewe la kiwango cha zege.
Hapo hata semitrailer iliyoshiba mzigo inakatiza.
Kila siku kabla ya kulala nyosha mikono juu sema "nchi ya kipumbavu sana hii" mara tatu.
Ni sawa kama wewe uliweza kuhimili mwili wa mzee komba!!. Ssm kuna wajinga wengi ukiwemo na ww.Darala la zege hilo
Daraja la gharama kubwa hilo, taxama mawe yaliojazwa kwenye kingo na lenyewe la kiwango cha zege.
Hapo hata semitrailer iliyoshiba mzigo inakatiza.
Daraja ✔️Darala la zege hilo
Unaweza kutupa BOQ yake ?Daraja la gharama kubwa hilo, taxama mawe yaliojazwa kwenye kingo na lenyewe la kiwango cha zege.
Semi -trailer ✔️Hapo hata semitrailer iliyoshiba mzigo inakatiza.
Wakuu,
Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?
Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?
Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.
Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?
========================================================
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.
Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.
Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.
Source: EFM Tanzania
😆😆😆😆😆Ni sawa kama wewe uliweza kuhimili mwili wa mzee komba!!. Ssm kuna wajinga wengi ukiwemo na ww.
Jamaa keshapiga perdiem zake hapo blablablaaa nyingi anatucheka tuNaibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.
Nchi ya kipumbavu Sana hiiKila siku kabla ya kulala nyosha mikono juu sema "nchi ya kipumbavu sana hii" mara tatu.
Hapo wamezingua yani hata usafi wameshindwa kufanya, Sina hakika kama alifanya ziara tu kwenye hilo daraja MH, alikuwa na mambo yake akapitia tu hapo maana Hilo halina hata hadhi ya kuzinguliwa na diwani wa viti maalumu hapo wangetafuta katibu tawi wa CCM alizindue tuWakuu,
Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?
Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?
Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.
Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?
========================================================
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.
Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.
Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.
Source: EFM Tanzania
Wakuu,
Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?
Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?
Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.
Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?
========================================================
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.
Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.
Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.
Source: EFM Tanzania
upo rafiki yangu? tumepotezana 😀 😀 😀Gharama za kuzindua ni kubwa kuliko gharama zilizotumika hapo, tuna nchi ya hovyo sn