Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Picha: Nimesikitika sana kuona Naibu Waziri anaenda kuzindua na kupongeza daraja kama hili. Hili daraja limegharimu kiasi gani?

Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
😅😅😅😅
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Wapi hiii
 
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
Hata Mimi nmesikitika Sanaa

Huu ni udhalilishaji Kwa wananchi na usumbufu.
 
Aisee!!
Wakuu,

Kwa hiyo Deus Sangu kachoma mafuta gari ye Serikali aje "kuzindua" kidaraja kama hiki?

Hili daraja si hata fundi Juma anatengeneza? Tumefikaje kama taifa sehemu kama hii where tunashangilia vitu petty namna hii?

Yaani hili daraja ikija mvua ambayo iko serious ni linaenda na maji asubuhi sana.

Wakati Wachina wanajenga Ma-fly over na madaraja ya glass sisi Naibu Waziri anajitokeza kushangilia daraja kama hili?

========================================================

Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu, amepongeza utekelezaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Manispaa ya Iringa kwa kukamilisha ujenzi wa daraja muhimu katika Kata ya Kitwiru.

Wananchi wamesema daraja hilo limekuwa mkombozi, likirahisisha usafiri hasa wakati wa mvua, ambapo awali watoto na watu wazima walishindwa kuvuka, wakikosa huduma muhimu na wanafunzi kushindwa kwenda shule.

Naibu Waziri amepongeza zaidi kwamba vifaa vya ujenzi, kama mchanga na kokoto, vimenunuliwa kutoka kwa wanufaika wa TASAF, waliovihifadhi kupitia vikundi vyao kama njia ya kujipatia kipato.


Source: EFM Tanzania
!
 
Tlaatlaah hongereni Sana kwa Ujenzi.
wananchii binafsi katika maeneo mbalimbali nchini, wakijitolea kurekebisha miundombinu korofi katika maeneo ya wananchi kwa maslahi ya wananchi wa eneo husika, ni muhimu sana wakapongezwa na kutiwa moyo na kila mTanzania
 
Chama chetu, wajameni CHADEMA, tuuze sera.

Kuwachonganisha wananchi na Serikali yake,inajenga uhasama tu. Haitatupa kura hii batanzani.

No reforms No erections.
 
wananchii binafsi katika maeneo mbalimbali nchini, wakijitolea kurekebisha miundombinu korofi katika maeneo ya wananchi kwa maslahi ya wananchi wa eneo husika, ni muhimu sana wakapongezwa na kutiwa moyo na kila mTanzania
Ndo muandae bajeti kubwa kwenda kupongeza hizo juhudi🥺 ama hakika mbele kwa mbele haijalishi kuna shimo au kiza totoro
 
Back
Top Bottom