[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mama weeeeeeeh leo nakufa wallah. Mbavu zinauma.Faiv yiaz orede finishidi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Theni hi goti nathing moa thani hatipain for mudaringi sini.
Wajumbe ni kama wajuba tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kule kwetu mgombea u diwan amebomoa nyumba za wajumbe, ambao aliwapa takrima, yaan awamu hii n ya wajumbe tyuuuh.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila nimeamini hakuna wanafiki Kama wajumbe...Kuna mzee kazimia huku alichotegemea kwa wajumbe kimekuwa tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
damu za watu lazma ziwashe viganjani!Usha ona wapi masai akaacha asili, huyu mhuni akiwa raisi wetu atatawala milele kama Mugabe, Putin na mseveni
Huyu Jamaa kwenye Matokeo ya Bible Knowledge alipata "F"........Ndiooo yaani mswaki
Anateseka kukosa madarakaHuyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!
HakikaWamchunge tu asije kujidhuru tukapoteza ushahidi!
Labda mungu shetaniHuyu jamaa anaonesha ni mtu wa Mungu tokea kitambo ila siasa imemharibu sana
True tukapoteza ushahidi ingefaa wawahi mapema kumuhifadhi tusijepoteza ushahidiHuyu jamaa tusipokuwa makini anaweza akachukua maamuzi magumu .
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Asifanye hivyo ushahidi usipoteeKutoka kupigiwa saluti na ving'ora mbele huku mbele na nyuma kuna walinzi hadi kuwa mzururaji wa jiji kiubinadamu akili lazima iyumbe kidogo.
Mliomo karibu nae mumchunge iko siku mtamkutakajingonga.
Mkuu uliona mbali sana.Asitoroke tu bado tupo naye
Wamchunge tu asije kujidhuru tukapoteza ushahidi!
Hichi kilio sio cha kawaidaHuyu jamaa inaonekana kuna majuto fulani anapitia na siku za hivi karibuni anaonekana ni kama anafanya toba. Nini kinamtesa?
Ni muda tu utafika atapata nguvu ya kukiri hadharani maana siyo jambo la kawaida!