Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ujinga kuamini ukiwa na nyumba maisha ni mepesi...hivi hujui kuna watu waliuza nyumba wakapata mitaji,wakafanya biashara,wakafanikiwa kujenga magorofa ???Aisee picha zoote hakuna kimechonitia uchungu kama hiyo picha ya Bibi hapo
Yaani anaonekana Mnyongeee
Hii ni kuonyesha kwamba hajaridhika nyumba kuuzwa na kuonekana kwamba kuna jambo hapo.Maana wazee wengi wa age hiyo huwa hawaamini kabisa kwamba mafanikio ya mtu yanatokana na kuuza Nyumba.Na ndio maana wazee wetu wote wenye akili walikubali kulala njaa lakini waliuza vyoote ila sio Nyumba,ambazo mpaka leo zipo hata kama Mbovu.
Mleta post kuwa makini sana juu ya kuingilia swala hili kama huna data za kutosha.Bei ni ndogo sana,na inazua mashaka kwamba kuna jambo.Sababu ya kuuza hai make sense
Bei ni ndogo lakini utashangaa unaomba upunguziwe..Bei inatia shaka maana ni ndogo sana.
Vitu vikiuzwa ghali mnalalamika,bei ikiwa nafuuBei inatia shaka maana ni ndogo sana.
Nkajua ni mm mwenyewe cjamuona,kumbe tupo wengi[emoji1] [emoji1]Nime scroll mara 5 kwenda juu na chini. ... nimeongeza mwanga 10x kumsaka huyo bibi aliyekaa kinyonge. ......nimetoka kapa
Ndogo? Milioni 82 ! Nilifikiri utasema vise versaBei inatia shaka maana ni ndogo sana.
Ni ndogo sana.Ndogo? Milioni 82 ! Nilifikiri utasema vise versa
Ukimaliza kusoma utanielewa ......Ni ndogo sana.
Hujaelewa wapi dogo?Ukimaliza kusoma utanielewa ......
Kweli bi mkubwa anaonekana mawazo yamemzidia msiuze hiyo nyumba labda kama kuna tatizo kubwa .isiwe mtaji kwa kipindi hikii watu wanalia ktk biasharaNime scroll mara 5 kwenda juu na chini. ... nimeongeza mwanga 10x kumsaka huyo bibi aliyekaa kinyonge. ......nimetoka kapa
Maswali ya msingi sana upo vizur
Mods ban hawa matapeli.