House4Sale ( PICHA ) Nyumba inauzwa Kinondoni "B"

House4Sale ( PICHA ) Nyumba inauzwa Kinondoni "B"

Ndugu yangu mbona unapenda kuhisi?. Huyo bibi wewe unamjua ni nani?.
Na mbona hapa sikusema kwamba anayeuza hii nyumba ni huyo bibi. Unasema eti inaonyesha huyo bibi hajaridhika kuuzwa nyumba. Wewe unamjua huyo ni nani?. JF ya siku hizi kweli siyo kama ile ya zamani kwakweli.

Ndugu yangu soma vizuri tangazo. Hakuna mizengwe wala mgogoro wowote juu ya kuuzwa hii nyumba.

Unasema eti sababu ya kuiuza Hii nyumba eti haiingii akilini. Ndugu yangu, wewe ulitaka niwadanganye watu hapa kwa kuweka sababu ya uongo???.

Unasema eti bei ni ndogo sana. Ndugu yangu hii bei haipungui hata senti. Yaani hapo usitegemee kwamba itapungua.
Mkuu kama wanaona bei ni ndogo wakupe bei ya hiyo nyumba halafu waiuze wao,na hela zilizozidi zote wakupe,kama kweli ni waungwana kiasi hicho!
 
Watoto walioanza shule mwaka 2000 wengi sana JF. Kaka ktk hii thread watu wazima utaweza kuwatambua ktk post kadhaa. JF ilikua zamani. Nenda ZoomTZ huku watoto wanataka matangazo ya bracelet, smartphones na nguo zao blouse za kiume za ki-david cameroun.
 
Ni ujinga kuamini ukiwa na nyumba maisha ni mepesi...hivi hujui kuna watu waliuza nyumba wakapata mitaji,wakafanya biashara,wakafanikiwa kujenga magorofa ???
Hakuna aliefanya hivi,sasa kama unajipa moyo jaribu na wewe uone.
Usifananishi enzi zile za Kima watu na zama za sasa.
Ingekuwa ni rahisi angeanza kwanza kwa kuichukulia Mkopo akajipima kwanza.
 
Nime scroll mara 5 kwenda juu na chini. ... nimeongeza mwanga 10x kumsaka huyo bibi aliyekaa kinyonge. ......nimetoka kapa

Nkajua ni mm mwenyewe cjamuona,kumbe tupo wengi[emoji1] [emoji1]
Picha ni hii hapa[emoji116]
24719b31adf77ac3b390d8fd850a21da.jpg

Nimefanya kuizoom na hivi ndivyo inaonekana kwa ukaribu Bibi kashika tama[emoji116]
67e1cf79d1ecf1ece9fb025aa70390b5.jpg


-Nyerere-
 
Wakuu habari zenu.
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna nyumba inauzwa hapa Kinondoni. Hii ni nyumba ya ndugu yangu. Sababu ya kuiuza ni Kuna mambo yake anahitaji kuyaweka sawa ambayo ikienda kama alivyopanga atapiga hatua kubwa mno kimaisha.

Haya weeeeeeeeeee
 
Picha ni hii hapa[emoji116]
24719b31adf77ac3b390d8fd850a21da.jpg

Nimefanya kuizoom na hivi ndivyo inaonekana kwa ukaribu Bibi kashika tama[emoji116]
67e1cf79d1ecf1ece9fb025aa70390b5.jpg


-Nyerere-
Hahaha ametia mgomo,wamuuze na yeye
Si unajua tena kuka kwa wajukuu ni Mtihani,maana ukimuangalia ni kama vile wa Kusini vile.
Jamaa anauza nyumba eti atokea kimaisha,aiseee,akili hana huyu
Nyumba?
 
Ntumie picha whatsApp 0689315582 za hiyo nyumba mi siioni humu
 
Hiyo bei mbona ndogo sasa kwa kinondoni wakuu, au nyie mnaonaje?
 
Mkuu simu kama ina matatizo weka namba ambayo ipo on muda wa kazi si unajua biashara kama hiyo watu ni kushindana kidau cha hela,weka haraka mawasiliano hewani please.
 
Aiseee!!!!!kweli hamna budi kuiuza,dah!!!maana huyo bibi hapo.....
 
Wakuu habari zenu.

Kama kichwa cha habari kinavyosema. Kuna nyumba inauzwa hapa Kinondoni. Hii ni nyumba ya ndugu yangu. Sababu ya kuiuza ni Kuna mambo yake anahitaji kuyaweka sawa ambayo ikienda kama alivyopanga atapiga hatua kubwa mno kimaisha.

Nyumba ina vyumba vitatu. Kimoja ni master room.
Seatting room
Dinning room
Jiko
Store
Baraza
Choo cha nje kipo

Hiyo ni nyumba kubwa. Kwa nje ina nyumba nyingine ambayo ni chumba na sebule.

Parking ya gari hata nne IPO
Nyumba yote hii ipo ndani ya fensi ya ukuta na ina geti kubwa.

Nyumba ipo Dar es salaam, eneo la Kinondoni "B"

Bei = Milioni 82
Contact : 0712189565


au piga hii 0625535791



5b33d37efe9dc18143d991093b0598cd.jpg
e9334956b3889f8a3745c71840a90d0b.jpg
84c744f6fb283bb1e4975959c4095396.jpg
657532437c7e40beb99f62c3cb5f14f2.jpg
0906b37dd24d3f648c6a7c2caac70436.jpg
6bb05733e96abce60546804aa6396c41.jpg
f7421d94adc0bb7e67f374b554777a05.jpg
a5bc4b9416f2da82e7a931b545dba766.jpg
 
Back
Top Bottom