Sio nadhani tunafahamiana...ana minyodo na mashauzi while hana ishu..Duh, aisee!
Kwa hiyo, kwa mfano, wewe unamchukia tu kwa vile unadhani yeye ana nyodo?
Sio nadhani tunafahamiana...ana minyodo na mashauzi while hana ishu..
Hahaha uliza wewe labda watakujibu.Mbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaaaaa duuh!
Huwa mnafurahisha kweli wakati mwingine.
Kwa hiyo wewe uko upset kwa sababu yeye [Zari] anatoka na Diamond [ambaye umesema ni mpenzi wa Wema]?
Mbona kama sielewi elewi vile....😀.
Clearly these things are way up above my pay grade!
Hahaha uliza wewe labda watakujibu.
Mbona ww wanaokuchukia hawakujui lakin wanakuchukia tuAu labda mimi tu ndo sielewi..
Lakini binafsi sioni mantiki ya kumchukia mtu ambaye hata hamjuani.
Sasa labda hawa wanaomchukia wanamjua na yeye anawajua.
Lakini kama hata hawajuani...where is the logic?
But then again why am I even asking for logic in gossip!
Silly me.
Mbona ww wanaokuchukia hawakujui lakin wanakuchukia tu
Yaani mi mwenyewe nashangaa!Hebu sema wewe ndugu yangu labda utaeleweka,maana mi hata sielewi hii chuki inatokea wapi,nabaki najishangaa labda mi ndo pengine nina matatizo ndo maana sielewi,lakini kila nikifikiria naona wanadamu ni watu wenye husda sana.
Maisha siyo yao,Diamond siyo ndugu yao,lakini wanataka kuwaingilia na maisha yao,daah! wabongo bwana! baadhi yao wana roho mbaya sana kama wachawi vile,waacheni na maisha yao.
Mmeanza kudiss team kibaBei ya nyumba Afrika Kusini ni ndogo kuliko Tanzania. Nyumba nzuri ambazo zinauzwa ziko nyingi sana kuliko Tanzania
Yaani hili swali hua najiuliza pia, ila itakua roho ya wivu Inawasumbua.Mbona watu mnamchukia hivyo Zari?
Kawafanya nini kwani?
[emoji15] [emoji15] interesting ....Maigizo ya wasanii wetu
Ubuyu leo umenipita....Wema anauza K na anajitunza na hana confrontation yoyote na mtu, she's free...sasa hilo limama linajishaua kumbe liko under probation na mahawara zake...ndo yaliyomkuta sorry sorry kibao na kutimuliwa![emoji16] [emoji16]
Mambo ya viwanda hayoGharama ya kununua nyumba moja masaki kule bondeni unapata mijengo miwili kama hiyo.. Sijui kwanini huku kwetu nyumba Ni ghali hivi
Asee una akili sana wewe[emoji122] [emoji122]Mbona ww wanaokuchukia hawakujui lakin wanakuchukia tu
Umeona sms za zari na ivan zimesambaa,ivan kazimbazaUbuyu leo umenipita....
Ngoja niende insta nitarudi
Eti Diamond anatoka na Zari halafu wengine wanachukia.
What kinda sense does that make?
Am I missing something here?
If I am, then what is it?