Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Hivi kwanini wanaume huwapa wake au wachumba vitu vya thamani kuliko wazazi wao,hapo inakuwaje
Ile asali anapewa na mamake???? Hebu acha weweeee
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Jaman hivi chibu ndio nani??nasikiaga tu...mi mgeni mjini..
Chibu ni jina la utoto la Naseeb ama Diamond platinumz jina la kisanii.
Alipokua mdogo alikua hawezi kusema Naseeb so akawa akiulizwa unaitwa nani anajibu CHIBBU
 
siyo fresh kuwasema watoto wa kambo. tena siy cool.
 
Hivi kwanini wanaume huwapa wake au wachumba vitu vya thamani kuliko wazazi wao,hapo inakuwaje
Hahhaahhaahah mapenzi yana run dunia mwee tena usilogwe mwanao akawa zuzu Wa mapenzi utakufa cku Si zako duh inauma,ndo mana mama mondi anapambana na zari anajua mapenzi ya mwana yamehamia kwa make now
 


Wenye timam watakuelewa
 
Nyani Ngabu, siku ukija kumwelewa mpwa wangu geniveros hapo na mimi naomba unieleweshe manake na mimi wala sielewi yaani!!
 
Aaah hapana chezeyaaa, akina hamisa wataambulia uvideo queen mamaeeeee, ndomo nimempenda bureee, team mavi wameumbukaje na Salome wao [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Ukianzisha uzi alafu ukaanza ponda wenzio....kisa ww team mama latifah.....uzi unapoteza uhalisia.
 
Watoto wa kiganda wana nyota.
Cc. Idriss mtafute Leah umuombe msamaha mrudiane.
Miguberi ya kibongo ni mizinga ya mawigi tu.
 
Nyumba inaweza ikawa bei rahisi kama wengi wanavyosema ila huko kwa wenzetu ishu ni maintanance of the house...property tax ni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…