Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Picha: Nyumba mpya ya Diamond ya South Africa

Hahaa! Unaona sasa... kumbe kwenye magazeti tena magazeti yenyewe mara zote ni ya Shigongo... hushangai ndugu why always Shigongo?! Siku chache zilizopita tu hapa niliweka video ya Mzee Abdul!! Moja ya swali ambalo aliulizwa ni habari gani kuhusu Diamond huwa zinamkera sana! Bila kumung'unya, alisema wazi kwamba hakuna habari zinazomkera kama uzushi unaosambazwa na watu kwamba Diamond hamsaidii wakati anamsaidia!!! Hata hivyo, ni kweli kwamba Diamond anampendelea sana mama ake kuliko babake... lakini ni wangapi wanafanya hili tena kwa baba zao ambao wamewalea, wamewasomesha na kuwajengea msingi wa maisha yao!
Amsaidie baba yake baba ni baba tu hata uende wapi
 
Leo kimenuka huko instagram

1474579961602-jpg.405256


Huu ndio Utajiri ambao Ivan, baba watoto wa Zari anajigamba nao kwenye mitandao:

10616696_996132367129794_456689733_n.jpg


12446295_117769968619866_977939001_n.jpg


12501555_1108152682569807_1039349783_n.jpg


12328463_793497414117082_1895475735_n.jpg


12519434_178504345875752_43147178_n.jpg


12729621_962089067217708_888729560_n.jpg


Update:
Zari ameomba msamaha kwa mzazi mwenzie anadai Chibu kaandika huo ujumbe kwa Mange Kimambi. Watoto wa Zari wamekuja juu hawamtaki tena Diamond kwa kumuaibisha baba yao

1474625007824.png
 
Najiuliza kwa sauti ivi nyie wasichana warembo wa tz hamkuiona hii fursa kwa diamond mkamdharau mkacheka ule mdomo wee waganda wakaula denda wakaupetipet wakamzalie leo hii ndo wanapeta nae jamani mmeniangusha warembo wetu wa kibongo msirudie tena hebu kamatien fursa kwa kina raynavy sasa maana diamond kasha bebwa na idd amin afu we chibuu una bahati nyerere hayupo angekucharaza bakora uyo mganda alimsumbua sana[emoji23][emoji23]
Ndio maana wolper anakomaaa na harmonize...asijebebwa na Waganda...Wanawake wa bongo sio wife material wao kuchezewa tu na kuachwa..
 
Daaah ...wadada mkiona hizo shelf zenye.hela.mnachanganyikiwa eeeh??
Hivi seriously huyu jamaa anapiga ishu gani hadi kua na hela kias hicho
 
Jaman zari nikumbuke warumi na Mimi angalau nije kuuza sura south africa kwenye nyumba yetu mpya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unataka ukaache heleni huko Bondeni au ?
 
Back
Top Bottom